Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu
1000153912.jpg
 
Every time hio train ama reli ilete shida munakimbia kutafuta excuses from every other country in the world. 😂 😂 😂 Nyinyi tulishawazoea. Reli haijamaliza hata miaka 3 na imejaa mashida since it was launched.
Haya SGR imerudi kazini. Subiri mvuq nyingine uje hapa kushangilia. Btw ile issue ya umeme imeisha naona mnasubiria ajali mshangilie. Mna laana nyie.
1767430855634.png
 
Muonekano Katika Uwanja Wa Tanganyika Packers Kawe Kutokea Angani, Hawa Ni Maelefu Ya Matu Waliokuja Kumshukuru Mungu Na Kupokea Ufunuo Wa Mwaka Mpya 2026.


1767430839509.png


1767430884146.png
 
Muonekano Katika Uwanja Wa Tanganyika Packers Kawe Kutokea Angani, Hawa Ni Maelefu Ya Matu Waliokuja Kumshukuru Mungu Na Kupokea Ufunuo Wa Mwaka Mpya 2026.


View attachment 3524528

View attachment 3524530

hahaha hapo kulikuwa na the largest meat processing plant in ea kama siyo sub saharan afrika, tanganyika packers maana yake kuchinja, processing, packaging na kusambaza kuuza dunia nzima au exports, jobs were created wakazi wengi wa kawe walifanya kazi hapo kwenye hiyo industrial complex, leo hii vimegeuka viwanja vya mipasho mashine zote walifungua wakauza na leo hii zinatumika nchi nyingine kuzalishia nyama, meanwhile serikali ya tanzagiza imewatafutia kazi ya watanzagiza ya kuendesha pikipiki uae, wow what a progress ...

product ya tanganyika packers
1767431673879.png


vs

leo hii
1767431441130.png
 
hahaha hapo kulikuwa na the largest meat processing plant in ea kama siyo sub saharan afrika, tanganyika packers maana yake kuchinja, processing, packaging na kusambaza kuuza dunia nzima au exports, jobs were created wakazi wengi wa kawe walifanya kazi hapo kwenye hiyo industrial complex, leo hii vimegeuka viwanja vya mipasho mashine zote walifungua wakauza na leo hii zinatumika nchi nyingine kuzalishia nyama, meanwhile serikali ya tanzagiza imewatafutia kazi ya watanzagiza ya kuendesha pikipiki uae, wow what a progress ...

product ya tanganyika packers
View attachment 3524541

vs

leo hii
View attachment 3524540
Unatuletea Old Propaganda. Siku hizi watu wanakula fresh meat, siyo hizo nyama za makopo zilizooza.
 
kiwanda kilizalisha ajira na pia kuexport meat products, kilinunua ngombe ktk kwa wafugaji, waliuza ngozi, leo hii imebakia mipasho na taarabu ...
Tanganyika Packers Limited (TPL) officially ended its operations in 1993

Loss of Markets:
When the Tanzanian government fully nationalized the company in 1974, Lemco withdrew its marketing license and technical support.

Sanitary Ban: Shortly after, TPL lost its international sanitary certificate. Without this "clean bill of health," the company was legally barred from exporting canned beef to its primary European markets. It was forced to shift from a global exporter to a local supplier for the Tanzanian military.

The OPEC Oil Crisis: Rising fuel prices made transporting cattle by rail or truck from central Tanzania to the coast prohibitively expensive.

Structural Adjustment: In the early 1990s, under pressure from the IMF and World Bank, Tanzania began privatizing or closing failing state industries. TPL, which was deeply in debt and no longer producing anything of value, was finally shut down in May 1993.
 
Back
Top Bottom