babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Kikubwa imeshaandikwa Tanzania imefuzu 16 bora. πππNakwambia yameumia kweli kweli, huwezi kuyaona kwa sasa, yamejificha yanasubiri kwa hamu mechi ya stars na Morocco ili yaongee, but hayawezi kuepuka ukweli kwamba tumevuka ππππππ