Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya oneni nmemuuliza chatgpt kanijibu hivi πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ–•πŸ–•πŸ–•
Screenshot_20251230_235138_ChatGPT.jpg
 
Vijamaa vilikuwa kwenye TV vinashangilia Tunisia maanake wanajua hadi Tz inacheza na nani wakati mimi nilikuwa hata sijui.
Leo wameumia kweli kweli, huwezi kuwaona. Tuliwaambia Tz ni footballing nation wakabisha, leo hawana cha kuongea, na hii tutawachapa nayo miaka nenda rudi mpaka Yesu arudi mana wao hawana uwezo wa kufika group stage πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Tunapiga panapouma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•
 
Wwoooiiiiii wakenya, nyingine hiyooo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•
Screenshot_20251231_000803_Google.jpg
 
Haya kama mkenya hujui kingereza wala Kiswahili, kifaransa icho hapo kwamba stars imefuzu Afcon round of 16, endelea kusubiri stars ishinde mechi ndo ifuzu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•
Screenshot_20251231_001208_Google.jpg
 
Mmeichukulia kishari sana, wakati Mimi nilitaka kujuwa tuu kama hiyo ngao inaasili na kabila lolote Kenya. Kama sivyo mngetuelimisha sisi tusio Wakenya.
πŸ˜… unfortunately we can see beyond this falacy.
1. Your’e African- pretending hujui maana na asili ya ngao ni nini
2. Mtanzania na mna ngao kwenu
3. Kufanya research ni simple but you decide to play us
 
These guys know Mosiria πŸ˜…πŸ˜…
How badly obsessed are you guys with Kenya in general. You seem to know too much.. I should pull up my socks coz who is the Vice President of TZ btw
Nairobi ni kama village unaingia na kutoka mda wowote, ni nyie tu uku mnahangaika na renders but tukianza kunyoosha maelezo nairobi ikoje utaaibika sana
 
πŸ˜… unfortunately we can see beyond this falacy.
1. Your’e African- pretending hujui maana na asili ya ngao ni nini
2. Mtanzania na mna ngao kwenu
3. Kufanya research ni simple but you decide to play us
Ngao ya kizulu ni tofauti na ile ya kisukuma, au ya kimasai, sasa nilitaka kujuwa kama hii yenu inawakilisha ngao ya kabila fulani ama laa? You seem triggered though. I wonder why?
 
Ngao ya kizulu ni tofauti na ile ya kisukuma, au ya kimasai, sasa nilitaka kujuwa kama hii yenu inawakilisha ngao ya kabila fulani ama laa? You seem triggered though. I wonder why?
Haya, tuambie Ile ya coat of arms yenu ni ya kabila Gani.πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Back
Top Bottom