bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,576
- 1,936
Tuko vizurii mazee dah.. Tumewakamata wakenya wengi tz.. Wapo vituoniii wananyea ndooo.. Watatema bungooo... Tuumbuee mitandao yote yaoo
Ayo ni watu wa kwanza. Ni fact na Kenya imekuwa ikifanya hivi kwa muda dhidi ya Tanzania.
Media za Kenya, activists wako kwenye malipo kuendesha ajenda mbovu dhidi yetu na hii ni fact iliyokuwapo tangu 1960s
Sikatai Kenya kutuchafua, hiyo inajulikana ila hii ya huyo jamaa kukamatwa, halafu Ayo kuiongelea, ni kama kutengeneza mazingira ya funika kombe.
Mbona kwenye mauaji hakuwahi kutangaza, vipi kwenye maandamano? Ndugu wamekataliwa kuzika wapendwa wao, Ayo hata hakuwahi kuripoti.
Alafu mtu mwenyewe ni US trained soldier. And people like REAL Comrade Kipepe are running away with it.😂😂😂Same script Just like winning with 98% of 31 million and foreigners were the protestestors
propaganda ya watu hawajaenda shule, ati Mtu aende na teargas nne kwa border, obviously planted evidence
Huo mpaka utapita kwetu
Hata asirudi ila machawa wake wa Tanganyika waje kuguswa nao kama walivyoguswa wengineHuyu mama ni wakurudi mavumbini kabla hajaaribu kabisa bara na hii ndio mission yake kama moja ya steps anazoamini zitawatoa kwenye muungano.
Kuwa mzalendo... Ww sio raia wa tz.. Nyambaff sanaHuo mpaka utapita kwetu
Tumemaliza kuwasafisha wasaliti ndani ya Wizara. Sasa tunarudi kazini. Baada ya miezi miwili kila mtu ataanza kuimba Samia Tuvushe, Tupeleke MbeleMama ni tunu ya taifa.. Lazma tumlinde kwa nguvu zoteee... Mtandao wa Kenya tunazidi kuumbuaa
View attachment 3503643View attachment 3503644
Tumemaliza kuwasafisha wasaliti ndani ya Wizara. Sasa tunarudi kazini. Baada ya miezi miwili kila mtu ataanza kuimba Samia Tuvushe, Tupeleke Mbele
Ruto really toiling for his second term ain’t gone lie
View: https://x.com/williamsruto/status/1990349294067433704?s=46