Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Siyo kila kitu utetee.People can always settle matters out of court na inakubalika, sio kila kitu inahatiji government intervention. Kwani hao Americans unadhani ni demigods ama? Nishawai kuona a video ya an American akipigwa in a foreign land and their government did nothing, so hakuna kitu cha kushangaza hapo.
Wenzetu wengine wameamua kuacha kuja hata kwenye hii forum, kwasababu wanaona aibu hata kuitetea Tanzania. Dhamira yao inakataa kuwa wanafiki.