Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ayo ni watu wa kwanza. Ni fact na Kenya imekuwa ikifanya hivi kwa muda dhidi ya Tanzania.

Media za Kenya, activists wako kwenye malipo kuendesha ajenda mbovu dhidi yetu na hii ni fact iliyokuwapo tangu 1960s
Sikatai Kenya kutuchafua, hiyo inajulikana ila hii ya huyo jamaa kukamatwa, halafu Ayo kuiongelea, ni kama kutengeneza mazingira ya funika kombe.

Mbona kwenye mauaji hakuwahi kutangaza, vipi kwenye maandamano? Ndugu wamekataliwa kuzika wapendwa wao, Ayo hata hakuwahi kuripoti.
 
Sikatai Kenya kutuchafua, hiyo inajulikana ila hii ya huyo jamaa kukamatwa, halafu Ayo kuiongelea, hii ni kama kutengeneza mazingira ya funika kombe.

Mbona kwenye mauji hakuwahi kutangaza, vipi kwenye maandamano?
Hawa ni chawa wa utawala huu uliofeli, ila report hii hata vyombo vikubwa Kenya vimeripoti.

Nachojua ni kuwa, mauaji yale yote hayakufanywa na vyombo vya dola pekee bali wapo mamluki wenye agenda walifanya yao pia.
 
Hawa ni chawa wa utawala huu uliofeli, ila report hii hata vyombo vikubwa Kenya vimeripoti.

Nachojua ni kuwa, mauaji yale yote hayakufanywa na vyombo vya dola pekee bali wapo mamluki wenye agenda walifanya yao pia.
Nachoangalia ni uzito wa jambo, iwe kweli huyo jamaa alikuwa na mabomu manne ama laa, huwezi linganisha maafa ya kuuliwa watu zaidi ya 10,000.

Tujiulize , ni nguvu kazi ipi imepotea, ni watoto wangapi wamekosa wazazi?

Mchawi hapa ni hii serikali haramu ya wanamtandao, hawa wakenya wanaotumwa, hawana uwezo wa kutuharibia nchi tukiwa wamoja. Mtandao ndiyo wanaotugawa, kidini na kikanda ili watutawale vizuri.
 
Tear gas ndio mnaita bomu. 😂 😂
Na bomu yenyewe mtaita aje?

Finyeni kabisa aeleze ametoa wapi. Ata sisi tunataka kujua.

Lakini isikuwe mnachezewa propaganda kwa ujinga wenu. 😂😂
The only beneficiary hapa ni ngamia suluhu hassan, ambaye anataka deflection kutoka kwa ukatili aliofanya.

Kuna uwezekano 98% hakuna 'mabomu' yamepatikana kwa gari lake. Hayo kwanza yanakaa standard issue ya polisi Tanzania.
Uwezekano mkubwa ni kwamba wametoa hapo storage, kijana akawa na bahati mbaya yeye ndiye Mkenya wameshika wa kwanza ambaye anafit profile believable.

Same script Just like winning with 98% of 31 million and foreigners were the protestestors
propaganda ya watu hawajaenda shule, ati Mtu aende na teargas nne kwa border, obviously planted evidence
 
You ain't being serious.

Let's take these facts into consideration, a Kenyan dude in his country has no right to defend himself while a Chinese asshole in a foreign land has more rights to take matters in his hands, to do whatever he wants.

Does that make sense to you?

If the roles were reversed, the Kenyan dude would face maximum repercussions, in China. The fact that a foreigner can do that comfortably, speaks volumes.

View: https://vm.tiktok.com/ZMAcYEdGt/
 
1000206202.jpg
 
Nachoangalia ni uzito wa jambo, iwe kweli huyo jamaa alikuwa na mabomu manne ama laa, huwezi linganisha maafa ya kuuliwa watu zaidi ya 10,000.

Tujiulize , ni nguvu kazi ipi imepotea, ni watoto wangapi wamekosa wazazi?

Mchawi hapa ni hii serikali haramu ya wanamtandao, hawa wakenya wanaotumwa, hawana uwezo wa kutuharibia nchi tukiwa wamoja. Mtandao ndiyo wanaotugawa, kidini na kikanda ili watutawale vizuri.
Kingine nilichogundua ni kuwa, Samia alikuwa staged kufanya matakwa ya mtandao lakini na yeye alikuwa na yake na sasa anayatekeleza ipadavyo: kuiharibu bara, kidinu, alijaribu kikabila na mbo yake ya uchifu lakini boss wa mtandao wakamstopisha.

Unaona hii, inchi iko kwenye mpasuko mkubwa lakini yeye ndio kwanza anaweka kuni kwenye moto.

View: https://x.com/mshambuliaji/status/1990403801577124297?s=20

Mimi nlimwambia hii Togolani akaniblock.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989069668049646016?s=20

Nkamwambua tena:

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989785703530602791


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989788073861759487
 
Same script Just like winning with 98% of 31 million and foreigners were the protestestors
propaganda ya watu hawajaenda shule, ati Mtu aende na teargas nne kwa border, obviously planted evidence
Kwa kweli hii imetudhalilisha sana Watanzania. I mean, how do you spin this shit? Ndiyo maana wale wenzetu hard core wamekimbia hii thread.
 
The guy is clearly assaulting the poor fellow, on camera, and you here, saying no damage done? No where in the states an employer can do that and get away with it. That'd be a huge lawsuit.
There you go!.. lawsuit .. now we are on same page . There are other factors like sexual harassment that can lead to a lawsuit also. I am not here to defend the Chinese dude but based on the video at hand, this an issue that can be resolved mutually. But if the beating had resulted to a case of serious bodily injuries, then all options would be on the table. I am glad you eased the temperature on this issue.
 
Kingine nilichogundua ni kuwa, Samia alikuwa staged kufanya matakwa ya mtandao lakini na yeye alikuwa na yake na sasa anayatekeleza ipadavyo: kuiharibu bara, kidinu, alijaribu kikabila na mbo yake ya uchifu lakini boss wa mtandao wakamstopisha.

Unaona hii, inchi iko kwenye mpasuko mkubwa lakini yeye ndio kwanza anaweka kuni kwenye moto.

View: https://x.com/mshambuliaji/status/1990403801577124297?s=20

Mimi nlimwambia hii Togolani akaniblock.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989069668049646016?s=20

Nkamwambua tena:

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989785703530602791


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989788073861759487

Nimekaa na Wazanzibari, Wapemba ni watu poa sana, very humble na wanaakili sana. Waunguja wanazile pozi za kisultani, dharu na kujiona wao ndio waliostaarabika.

Samia ana-elements za kuchukia wabara, ona alivyogawa hovyo hovyo rasilimali kama bandari na Ngorongoro na ku mistreat wamasai.

Hii ya juzi ndo funga kazi, kaua indiscriminately hadi watoto, ni wazi anaishu flani na Watanganyika.

Sasa huyu Wanu na unaibu waziri wa elimu wapi na wapi? Wameshindwa kuwatafuta walimu wanaojua changamoto za mashuleni, kusimamia hiyo wizara?

Samia alishusha viwango vya ufaulu kwa mabinti, na mwaka huu, kila binti nayemfahamu alipata div 1. Wanaomzunguka wote machawa, watafanya kila kitu kumfurahisha.
 
Nimekaa na Wazanzibari, Wapemba ni watu poa sana, very humble na wanaakili sana. Waunguja wanazile pozi za kisultani, dharu na kujiona wao ndio waliostaarabika.

Samia ana-elements za kuchukia wabara, ona alivyogawa hovyo hovyo rasilimali kama bandari na Ngorongoro na ku mistreat wamasai.

Hii ya juzi ndo funga kazi, kaua indiscriminately hadi watoto, ni wazi anaishu flani na Watanganyika.

Sasa huyu Wanu na unaibu waziri wa elimu wapi na wapi? Wameshindwa kuwatafuta walimu wanaojua changamoto za mashuleni, kusimamia hiyo wizara?

Samia alishusha viwango vya ufaulu kwa mabinti, na mwaka huu, kila binti nayemfahamu alipata div 1. Wanaomzunguka wote machawa, watafanya kila kitu kumfurahisha.
Huyu mama ni wakurudi mavumbini kabla hajaaribu kabisa bara na hii ndio mission yake kama moja ya steps anazoamini zitawatoa kwenye muungano.
 
Back
Top Bottom