Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Sikatai Kenya kutuchafua, hiyo inajulikana ila hii ya huyo jamaa kukamatwa, halafu Ayo kuiongelea, ni kama kutengeneza mazingira ya funika kombe.Ayo ni watu wa kwanza. Ni fact na Kenya imekuwa ikifanya hivi kwa muda dhidi ya Tanzania.
Media za Kenya, activists wako kwenye malipo kuendesha ajenda mbovu dhidi yetu na hii ni fact iliyokuwapo tangu 1960s
Mbona kwenye mauaji hakuwahi kutangaza, vipi kwenye maandamano? Ndugu wamekataliwa kuzika wapendwa wao, Ayo hata hakuwahi kuripoti.