Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Same script Just like winning with 98% of 31 million and foreigners were the protestestors
propaganda ya watu hawajaenda shule, ati Mtu aende na teargas nne kwa border, obviously planted evidence
Kwa kweli hii imetudhalilisha sana Watanzania. I mean, how do you spin this shit? Ndiyo maana wale wenzetu hard core wamekimbia hii thread.
 
The guy is clearly assaulting the poor fellow, on camera, and you here, saying no damage done? No where in the states an employer can do that and get away with it. That'd be a huge lawsuit.
There you go!.. lawsuit .. now we are on same page . There are other factors like sexual harassment that can lead to a lawsuit also. I am not here to defend the Chinese dude but based on the video at hand, this an issue that can be resolved mutually. But if the beating had resulted to a case of serious bodily injuries, then all options would be on the table. I am glad you eased the temperature on this issue.
 
Kingine nilichogundua ni kuwa, Samia alikuwa staged kufanya matakwa ya mtandao lakini na yeye alikuwa na yake na sasa anayatekeleza ipadavyo: kuiharibu bara, kidinu, alijaribu kikabila na mbo yake ya uchifu lakini boss wa mtandao wakamstopisha.

Unaona hii, inchi iko kwenye mpasuko mkubwa lakini yeye ndio kwanza anaweka kuni kwenye moto.

View: https://x.com/mshambuliaji/status/1990403801577124297?s=20

Mimi nlimwambia hii Togolani akaniblock.

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989069668049646016?s=20

Nkamwambua tena:

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989785703530602791


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1989788073861759487

Nimekaa na Wazanzibari, Wapemba ni watu poa sana, very humble na wanaakili sana. Waunguja wanazile pozi za kisultani, dharu na kujiona wao ndio waliostaarabika.

Samia ana-elements za kuchukia wabara, ona alivyogawa hovyo hovyo rasilimali kama bandari na Ngorongoro na ku mistreat wamasai.

Hii ya juzi ndo funga kazi, kaua indiscriminately hadi watoto, ni wazi anaishu flani na Watanganyika.

Sasa huyu Wanu na unaibu waziri wa elimu wapi na wapi? Wameshindwa kuwatafuta walimu wanaojua changamoto za mashuleni, kusimamia hiyo wizara?

Samia alishusha viwango vya ufaulu kwa mabinti, na mwaka huu, kila binti nayemfahamu alipata div 1. Wanaomzunguka wote machawa, watafanya kila kitu kumfurahisha.
 
Nimekaa na Wazanzibari, Wapemba ni watu poa sana, very humble na wanaakili sana. Waunguja wanazile pozi za kisultani, dharu na kujiona wao ndio waliostaarabika.

Samia ana-elements za kuchukia wabara, ona alivyogawa hovyo hovyo rasilimali kama bandari na Ngorongoro na ku mistreat wamasai.

Hii ya juzi ndo funga kazi, kaua indiscriminately hadi watoto, ni wazi anaishu flani na Watanganyika.

Sasa huyu Wanu na unaibu waziri wa elimu wapi na wapi? Wameshindwa kuwatafuta walimu wanaojua changamoto za mashuleni, kusimamia hiyo wizara?

Samia alishusha viwango vya ufaulu kwa mabinti, na mwaka huu, kila binti nayemfahamu alipata div 1. Wanaomzunguka wote machawa, watafanya kila kitu kumfurahisha.
Huyu mama ni wakurudi mavumbini kabla hajaaribu kabisa bara na hii ndio mission yake kama moja ya steps anazoamini zitawatoa kwenye muungano.
 
Tuko vizurii mazee dah.. Tumewakamata wakenya wengi tz.. Wapo vituoniii wananyea ndooo.. Watatema bungooo... Tuumbuee mitandao yote yaoo
 
Ayo ni watu wa kwanza. Ni fact na Kenya imekuwa ikifanya hivi kwa muda dhidi ya Tanzania.

Media za Kenya, activists wako kwenye malipo kuendesha ajenda mbovu dhidi yetu na hii ni fact iliyokuwapo tangu 1960s

Sikatai Kenya kutuchafua, hiyo inajulikana ila hii ya huyo jamaa kukamatwa, halafu Ayo kuiongelea, ni kama kutengeneza mazingira ya funika kombe.

Mbona kwenye mauaji hakuwahi kutangaza, vipi kwenye maandamano? Ndugu wamekataliwa kuzika wapendwa wao, Ayo hata hakuwahi kuripoti.


Media ya Kenya ikireport killings zinazifanyika Kenya ama Uganda pia huwa wamelipwa? Shida ya kukosa media freedom huwa mnaona mnachafuliwa jina kisa all negative news from your country are reported by foreign media.
 
Same script Just like winning with 98% of 31 million and foreigners were the protestestors
propaganda ya watu hawajaenda shule, ati Mtu aende na teargas nne kwa border, obviously planted evidence
Alafu mtu mwenyewe ni US trained soldier. And people like REAL Comrade Kipepe are running away with it.😂😂😂
 
Museveni anafanikiwa soon... Mama anamsapoti 100%
1000207196.jpg
 
Mama ni tunu ya taifa.. Lazma tumlinde kwa nguvu zoteee... Mtandao wa Kenya tunazidi kuumbuaa
1000196292.jpg
1000207331.jpg
 
Back
Top Bottom