NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,044
- 19,239
He once changed his name then got lost.It’s been a while since we heard from baboonman. What happened to him?
He once changed his name then got lost.It’s been a while since we heard from baboonman. What happened to him?
What are your numbersNot true. These are Chadema speculating rumors.
Actually, Tanzanians have a better chance than our Gen Zs had because the army is on their side. The issue is can they sustain maandamano for long like Kenyans?I genuinely want what is best for Tz,but the little I know about your politics and from the look on things hakuna mahala anaenda.
The next step ni kuapishwa and the protest will start to get tired like they have.
Nilikuambia from the beginning hamna haja ya umwagikaji wa damu na uharibifu wa mali.
But if tanzanians can sustain the demos,kuna vile anaweza kuja mkia.
Am hearing the army is divided since mama has loyalist in the military otherwise wangekua washachukua nchi kitambo.lingine cdhani wabongo wana ustahimilivu wa kuendeleza maandamano for long, that's what samia is banking on.Actually, Tanzanians have a better chance than our Gen Zs had because the army is on their side. The issue is can they sustain maandamano for long like Kenyans?
Wakunya uchafu umejaa jijini pambaneni na uchafu kwanzaa
View attachment 3496409
The zoo was on lock down…😂😂😂😂It’s been a while since we heard from baboonman. What happened to him?
Nafikiri labda jeshi wameona sio vyema kuweka jhistoria ya jeshi kuchukua nchi ili kusiwa na mwendelezo huko baadae. Ametangazwa na sidhani kama ataapishwa kama ilivyo kawaida kuapishwa uwanjani na sherehe na kualika marais. Ataabisha mahala na kutakuwa na ulinzi na aina hii ya uapishwaji ni dhahiri kuwa hatakiwi na wananchi na hana legitimacy ya kuongoza nchi. Hivyo baaada ya kuapishwa, then few hours or baada ya siku kadhaa atajiuzuru.That doesn't mean shit.
I never count dead bodies, and neither do they.What are your numbers
Are you listening to yourself,apishwe then ajiuzulu,be real bana.Nafikiri labda jeshi wameona sio vyema kuweka jhistoria ya jeshi kuchukua nchi ili kusiwa na mwendelezo huko baadae. Ametangazwa na sidhani kama ataapishwa kama ilivyo kawaida kuapishwa uwanjani na sherehe na kualika marais. Ataabisha mahala na kutakuwa na ulinzi na aina hii ya uapishwaji ni dhahiri kuwa hatakiwi na wananchi na hana legitimacy ya kuongoza nchi. Hivyo baaada ya kuapishwa, then few hours or baada ya siku kadhaa atajiuzuru.
Hawezi kuongoza till 2030, I don't see this happening.
Si unapenda kujidanganya Sana?😂😂Nafikiri labda jeshi wameona sio vyema kuweka jhistoria ya jeshi kuchukua nchi ili kusiwa na mwendelezo huko baadae. Ametangazwa na sidhani kama ataapishwa kama ilivyo kawaida kuapishwa uwanjani na sherehe na kualika marais. Ataabisha mahala na kutakuwa na ulinzi na aina hii ya uapishwaji ni dhahiri kuwa hatakiwi na wananchi na hana legitimacy ya kuongoza nchi. Hivyo baaada ya kuapishwa, then few hours or baada ya siku kadhaa atajiuzuru.
Hawezi kuongoza till 2030, I don't see this happening.
Haijawahi tokea hii na ni lazima awe na ulinzi mkubwa sana kama ataongoza.Si unapenda kujidanganya Sana?😂😂