REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,602
- 11,528
Haijawahi tokea hii na ni lazima awe na ulinzi mkubwa sana kama ataongoza.Are you listening to yourself,apishwe then ajiuzulu,be real bana.
Kama angekua na nia ya kutoendelea na uongozi angekua ashatii amri ya maandamano.
Mko na only two options
1) kuandamana hadi mwisho hadi atii.
2)mkubali yaishe kua nchi yenu inaongozwa na udikteta.
My takeaway:
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1984601789396647941