Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mama yuko vizuriii... Jwtz wako poaa.. Anaapishwa mda huu... Wanalikomboa afrika
1000187720.jpg
 
That doesn't mean shit.
Nafikiri labda jeshi wameona sio vyema kuweka jhistoria ya jeshi kuchukua nchi ili kusiwa na mwendelezo huko baadae. Ametangazwa na sidhani kama ataapishwa kama ilivyo kawaida kuapishwa uwanjani na sherehe na kualika marais. Ataabisha mahala na kutakuwa na ulinzi na aina hii ya uapishwaji ni dhahiri kuwa hatakiwi na wananchi na hana legitimacy ya kuongoza nchi. Hivyo baaada ya kuapishwa, then few hours or baada ya siku kadhaa atajiuzuru.

Hawezi kuongoza till 2030, I don't see this happening.
 
Nafikiri labda jeshi wameona sio vyema kuweka jhistoria ya jeshi kuchukua nchi ili kusiwa na mwendelezo huko baadae. Ametangazwa na sidhani kama ataapishwa kama ilivyo kawaida kuapishwa uwanjani na sherehe na kualika marais. Ataabisha mahala na kutakuwa na ulinzi na aina hii ya uapishwaji ni dhahiri kuwa hatakiwi na wananchi na hana legitimacy ya kuongoza nchi. Hivyo baaada ya kuapishwa, then few hours or baada ya siku kadhaa atajiuzuru.

Hawezi kuongoza till 2030, I don't see this happening.
Are you listening to yourself,apishwe then ajiuzulu,be real bana.
Kama angekua na nia ya kutoendelea na uongozi angekua ashatii amri ya maandamano.
Mko na only two options
1) kuandamana hadi mwisho hadi atii.
2)mkubali yaishe kua nchi yenu inaongozwa na udikteta.
 
Nafikiri labda jeshi wameona sio vyema kuweka jhistoria ya jeshi kuchukua nchi ili kusiwa na mwendelezo huko baadae. Ametangazwa na sidhani kama ataapishwa kama ilivyo kawaida kuapishwa uwanjani na sherehe na kualika marais. Ataabisha mahala na kutakuwa na ulinzi na aina hii ya uapishwaji ni dhahiri kuwa hatakiwi na wananchi na hana legitimacy ya kuongoza nchi. Hivyo baaada ya kuapishwa, then few hours or baada ya siku kadhaa atajiuzuru.

Hawezi kuongoza till 2030, I don't see this happening.
Si unapenda kujidanganya Sana?😂😂
 
Back
Top Bottom