Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,353
- 15,075
Moi was anti-communist and pro-west, he crashed anyone with communist ideologies, that's why he never got along with Jaramogi and his son Raila.
siyo kweli, labda kama hauelewi communism ni nini, moi was a communist kama viongozi wote wa kiafrika, ni either communist au Capitalism na kenya under moi haikufwata capitalism, kwenye capitalism kuna freedom of expression, media, worship na pia Christianity, wakati wa moi kulikuwa na kanu kidumu chama cha kanu kama ccm yetu, opposition walifungwa jela, kulikuwa na assasination of political opponents, media ilikuwa kbc tu na mambo mengine mengi hiyo communism 100% hata kama kwako ni ngumu kuamini ...