Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Moi was anti-communist and pro-west, he crashed anyone with communist ideologies, that's why he never got along with Jaramogi and his son Raila.

siyo kweli, labda kama hauelewi communism ni nini, moi was a communist kama viongozi wote wa kiafrika, ni either communist au Capitalism na kenya under moi haikufwata capitalism, kwenye capitalism kuna freedom of expression, media, worship na pia Christianity, wakati wa moi kulikuwa na kanu kidumu chama cha kanu kama ccm yetu, opposition walifungwa jela, kulikuwa na assasination of political opponents, media ilikuwa kbc tu na mambo mengine mengi hiyo communism 100% hata kama kwako ni ngumu kuamini ...
 
siyo kweli, labda kama hauelewi communism ni nini, moi was a communist kama viongozi wote wa kiafrika, ni either communist au Capitalism na kenya under moi haikufwata capitalism, kwenye capitalism kuna freedom of expression, media, worship na pia Christianity, wakati wa moi kulikuwa na kanu kidumu chama cha kanu kama ccm yetu, opposition walifungwa jela, kulikuwa na assasination of political opponents, media ilikuwa kbc tu na mambo mengine mengi hiyo communism 100% hata kama kwako ni ngumu kuamini ...
Wacha upumbavu!
 
Hongera sana mama mazee dah, umetuvushaaa... Wapinzani wote sasa wataona cha motooo... Mwendo ni wa finya pumbunyoo piga uaaaa
 
siyo kweli, labda kama hauelewi communism ni nini, moi was a communist kama viongozi wote wa kiafrika, ni either communist au Capitalism na kenya under moi haikufwata capitalism, kwenye capitalism kuna freedom of expression, media, worship na pia Christianity, wakati wa moi kulikuwa na kanu kidumu chama cha kanu kama ccm yetu, opposition walifungwa jela, kulikuwa na assasination of political opponents, media ilikuwa kbc tu na mambo mengine mengi hiyo communism 100% hata kama kwako ni ngumu kuamini ...
Naona unaconfuse Democracy with Capitalism. Hizo vitu unataja are characterstics of a an Authoritarian regime ama Dictatorship ukipenda. They can all happen in any country which practices Capitalism or Communism and is led by dictator. One party state is not even a proper communism ideology, it was only popularised by Vladmir Lenin.
 
Naona unaconfuse Democracy with Capitalism. Hizo vitu unataja are characterstics of a an Authoritarian regime ama Dictatorship ukipenda. They can all happen in any country which practices Capitalism or Communism and is led by dictator. One party state is not even a proper communism ideology, it was only popularised by Vladmir Lenin.

wewe ndiyo unaconfuse, Christianity (western), Capitalism na democracy ni baba mmoja, democracy ni mzao wa Capitalism, soma historia vizuri, na vyote viwili (democarcy na Capitalism) chimbuko lake ni Christianity, huwezi kutenganisha Christiniaty, Capitalism na Democracy ...
 
wewe ndiyo unaconfuse, hakuna tofauti kati ya Capitalism na democracy, democracy ni mzao wa Capitalism, soma historia vizuri, na vyote viwili (democarcy na Capitalism) chimbuko lake ni Christianity, ndiyo maana hakuna nchi islamic ambayo ni democratic kwa maana inafwata islamic ...
Sinagpore under Lee Kuan Yew was a dictatorship regime but he was a very good capitalist. Sasa sijui hio reasoning yako umetoa wapi.
 
Sinagpore under Lee Kuan Yew was a dictatorship regime but he was a very good capitalist. Sasa sijui hio reasoning yako umetoa wapi.

siyo kweli kwamba singapore infwata capitalism per se, singapore ni kama china, ina state owned companies jambo ambalo ni mwiko kwenye Capitalism, tofauti KUU kati ya capitalism vs communism, ni kwenye private ownership, Capitalism inaruhusu private ownership vs communist ni state owned companies kama china.

na ndiyo ugomvi mkubwa uliko sasa hvi kati ya china na west, western companies ni private owned wakati chinese ni state owned au hata kama ni private lkn only on paper na wako subsidized, hivyo kunakuwa na unfair competition ...
 
siyo kweli kwamba singapore infwata capitalism per se, singapore ni kama china, ina state owned companies jambo ambalo ni mwiko kwenye Capitalism, tofauti KUU kati ya capitalism vs communism, ni private ownership, Capitalism inaruhusu private ownership vs communist ni state owned companies kama china ...
Na nani kakudanganya China hakuna traits of capitalism. 🤣 🤣 🤣 Enyewe wewe ni fala.
 
Na nani kakudanganya China hakuna traits of capitalism. 🤣 🤣 🤣 Enyewe wewe ni fala.

hauelewi capitalism vizuri, Capitalism ni private ownership vs communism ni state owned hiyo ndiyo tofauti kubwa, lkn haimaanishi kwamba moja ni bora klk nyingine bali ni system mbili tofauti, na hapo ndipo democracy na human freedom vinapoingia, ukiwa na private ownership kuna freedom kwani its yours vs state owned ambapo the government decides for you, mfano mdogo angalia media, upande wa communist ni state owned/affiliated media wakati Capitalism ni private owned media na wanarusha news wanazotaka wakati state owned/affiliated wanarusha news zilizoidhinishwa na state huo ni mfano mdogo tu wa complex topic ...
 
hauelewi capitalism vizuri, Capihtalism ni private ownership vs communism ni state owned hiyo ndiyo tofauti kubwa, lkn haimaanishi kwamba moja ni bora klk nyingine bali ni system mbili tofauti ...
Guess what China is the 2nd country in the world with most billionaires. 🤣 🤣 🤣 Haya tupatie excuse?
KFC China a privately owned fast food chain has the highest number of restaurants in China? Tupatie another excuse tusikie.
 
In Kenya multipartism didn't come easy after it was banned, kulikua na maandamano kali sana kwa ground, the only support we got from the west was sanctions. Huwezi kutufunza our own history.
After the fall of the Soviet Union, the new order was established, multipartyism was one of the condition of the order. Moi had no choice but to cave in. Chaos in multipartyism is just being part of the game.
 
Back
Top Bottom