Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kuna link ya wachina nimesoma kuhusu hio standard gage ya kutoka mombasa na nairobi kumbe ime cost 4b usd duhhhhhh i thought 3.8b kumbe ni 4b usd, nimeshtuka sana aisee😀😀😀😀😀😀

yani 4 billion usd alaf treni ni gari moshi??🙁🙁

wakenya mulikosea wapi?????😛😛😛
 
Ujenzi wa pinnacle umefanya Ichoboy kunyamba usiku kucha lol! Hadi wivu umemtia wahaka na kiwewe, iweje wakati huu? Na jee litapokuwa kwenye shamrashamra za Top up naona watu wakijificha mavumbini.
Jueni kwamba this is a SUPERTALL SKYSCRAPER, Jump forming itakapoanza ni 1 floor every 4 days and within 1 year, top up ndio hiyo, just like the salesforce tower.
Mwaka huu ni kichapo kikali!!!! Harariiiiiii!!
ujenzi wa piinnacle ukwapi maana ishakua nyimbo toka 2014 munaongea kuhusu ujenzi wa pinnacle mara sijui hass , kama upo leteni tuone na kama hamuna endeleeni kutuonesha renders, maana mutaonesha shimo mpaka lini ?????? miaka 5 sasa munaonesha shimo tu hata tofali lakusingizia hamuna, mwengine alileta picha ya montave nilicheka sana aisee kupenda sifa nikubaya sana😀😀😀
 
Happy New year Mla Albino na Mwanagovi wa Tandale. Natumahi maisha yakuendee vizuri utoke kwenye vibanda vya makaburini mwaka huu....
chuki na hasira hazitakutoa kwenye slums sehemu hata nguruwe hawez kuishi😀😀😀😀😀
 
hii kitu imenishtua sana 4billion usd serious????
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
yani gari moshi from nairobi to mombasa 4b usd wakenya kweli aisee nimeskitika sana ila mchina ujue Mungu anakuona
9EE0055C-03D8-4D1E-9432-DF4668281568.jpeg
 
hii kitu imenishtua sana 4billion usd serious????
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
yani gari moshi from nairobi to mombasa 4b usd wakenya kweli aisee nimeskitika sana ila mchina ujue Mungu anakuona
View attachment 665437

around $4 billion.
meaning it could be anywhere between $3.5b to $4.5b.
does not necessarily means it is exactly $4b.
understand literature
 
around $4 billion.
meaning it could be anywhere between $3.5b to $4.5b.
does not necessarily means it is exactly $4b.
understand literature
hehhehe unajua maana ya around yani iwe 3.5 aseme 4 we akili yako timamu kweli, around maana yake iko karibu sana tena sana na figure husika ita may be 3.95 or 3.9b au 4.1 hvi and not 3.5, sometimes upunguze ujinga usio walazima

hizo ni pesa sio mandazi😀😀😀😀😀
 
hehhehe unajua maana ya around yani iwe 3.5 aseme 4 we akili yako timamu kweli, around maana yake iko karibu sana tena sana na figure husika ita may be 3.95 or 3.9b and not 3.5, sometimes upunguze ujinga usio walazima

hizo ni pesa sio mandazi😀😀😀😀😀
can be between $3.8b to $4.2b.... but not exactly $4b usd....
hapo tumeelewana
 
Back
Top Bottom