Watu wanazungumzia kuingiza pesa, wewe unashabikia jumba moja refu, millions wapo kwenye slums dying of hunger, I hope hizi akili hatutoingia nazo 2018. happy new year my brother.Ujenzi wa pinnacle umefanya Ichoboy kunyamba usiku kucha lol! Hadi wivu umemtia wahaka na kiwewe, iweje wakati huu? Na jee litapokuwa kwenye shamrashamra za Top up naona watu wakijificha mavumbini.
Jueni kwamba this is a SUPERTALL SKYSCRAPER, Jump forming itakapoanza ni 1 floor every 4 days and within 1 year, top up ndio hiyo, just like the salesforce tower.
Mwaka huu ni kichapo kikali!!!! Harariiiiiii!!
Kuna project za kuondoa aibu ndogo ndogo na project za kutafuta jina. ...Pwahahahaha....flyover, terminal na interchange? taja moja ambalo Kenya tarayi halipo....😀😀😀😀
Light rail iyo ni 2070Pinnacle x2
Montave x2
Avic x5
CBK pension x2
SGR phase 2
Industrial park Naivasha
Tatu city
Light Commuter Rail
JKIA double decker highway
BRT system
Outer Ring RD
Eastern Bypass
dude try again😀😀😀😀
Kweli wewe Nyang'au na wenzako mwaka huu 2018 mtakimbia hili jukwaa.

Happy new year to my fellow Tanzanians and slum dwellers jobless Kenyans

Happy New Year QueenHappy new year to my fellow Tanzanians and slum dwellers jobless Kenyans
Happy new year to my fellow Tanzanians and slum dwellers jobless Kenyans
Professa Amo amewahi kuwa brand ambassador wa startime East africa 2016.kwa kuwa vijana wengi nchini kenya ni majobless,jana usiku azam tv iliandaa onyesho kubwa la burudani ya uchekeshaji pale mlimani city mall linalofahamika kama new year's eve comedy gala.
moja wapo ya comedians waliopewa ajira ya muda(temporary job) ya kuburudisha watanzania ni hawa vijana wawili wa kikenya.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
pia katika onyesho hilo,alikuwepo comedian maarufu toka Nigeria basket mouth.
![]()
![]()
NB:
kolo na majobless wenzio mje muone vijana wawili wa kikenya waliokuja "kuhemea"(kuganga njaa) dar es salaam na ku-enjoy new year pamoja na watanzania.
BTW hii post nilitaka niiweke tangia jana ila niliacha kwa kuwa nilikuwa kwenye bata zangu na kichwa kilikuwa kizito sana.
kolo niliona ile thread yako ya kijinga unayowabeza wasanii wetu waliokuja kuwaburudisha wakenya huko kwenyu ukidai ati wamekuja huko kisa kenya iko na pesa mingi.
ukweli ni kwamba,wasanii wa kitanzania wanapendwa sana kenya kwa kuwa wakenya hawana alternative ya kupata burudani nzuri ya mziki miongoni mwa wasanii wa kenya.
wanamziki wenyu hawajui mziki.so the only option left for your promoters is to bring in tanzanians since the music that's performed by kenyans is boring.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kama ni jobless jana show ya Diamond haingejaa..Happy new year to my fellow Tanzanians and slum dwellers jobless Kenyans
Kama ni jobless jana show ya Diamond haingejaa..
Mnasemaga ivo as if kenyans are poor....wakenya wengi wanafikisha 2$ a day than TZ kwa mbali.