hahahaha.... maoni yako ya reli hewa ndio unaita facts????? reli ya 3rd class na haina terminus??? hahaha.... sit down
Ameze piriton alale
hahahaha.... maoni yako ya reli hewa ndio unaita facts????? reli ya 3rd class na haina terminus??? hahaha.... sit down
ukweli unaujua kua inajengwa bro mm sikulazmishi uamini ila facts ndio hzo kukosea sio ujinga nikujifunza na ili usirudie tena 😀😀😀😀😀hahahaha.... maoni yako ya reli hewa ndio unaita facts????? reli ya 3rd class na haina terminus??? hahaha.... sit down
no no no uhuru kenyatta is there, have a look on first line😀😀😀😀😀😀Mbana kuna jina silioni hapa?![]()
Tanzania vyuma vimekaza, ila kwa watani zetu vimeshika kutu kabisa, mtumishi wa serikali kujinyonga kisa kuku kuibiwa, hii tunaanza nayo mwaka
chuki na hasira hazitakutoa kwenye slums sehemu hata nguruwe hawez kuishi😀😀😀😀😀
Inakuumiza kichwa eeh. ...mtapata picha kutoka angle zote ulizowah soma. ....nnauakika ukiona tu fence na mizigo yenyewe utasahau kulahahahaha.... maoni yako ya reli hewa ndio unaita facts????? reli ya 3rd class na haina terminus??? hahaha.... sit down
Terminus kwa magari moshi.hii ndio akili ya kenya inaishia kufikiri.hahahaha.... maoni yako ya reli hewa ndio unaita facts????? reli ya 3rd class na haina terminus??? hahaha.... sit down
kinachowaumiza kichwa ni hichi hapa😀😀😀Inakuumiza kichwa eeh. ...mtapata picha kutoka angle zote ulizowah soma. ....nnauakika ukiona tu fence na mizigo yenyewe utasahau kula
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
debt to GDP ratio 60%😀😀😀😀😀Terminus kwa magari moshi.hii ndio akili ya kenya inaishia kufikiri.
Dc yenye njaa na slums.
Barabara nzuri kajiji kenyewe njiwa.
Uchumi mkubwa mikopo mpaka ujenzi wa reli.
Hapana, mimi sitafuti jina la Uhuru Kenyatta, nilikua ninamuulizia Museven, wewe usinigpnhamishe na mashemeji zanguno no no uhuru kenyatta is there, have a look on first line😀😀😀😀😀😀

debt to GDP ratio 60%😀😀😀😀😀
Povu hilo.... Tihihi..... Treni hewakinachowaumiza kichwa ni hichi hapa😀😀😀
Tanzania building electric rail at half price of Kenya’s diesel Standard Gauge Railway line
official link plz kabla sijakuletea below povert line😀😀😀😀😀😀😀😀Poverty levels of 70%....Tihihihi..... Siku zote masikini ulalamika na kusema Tajiri amechukuwa mali yao.....
usiumie sana sawa😀😀😀😀 sijapenda kuona unalia na huu mwaka mpya kisa tanzania kujenga electric modern trainPovu hilo.... Tihihi..... Treni hewa
A third class railway alafu the slowest bullet train
160km/hr😀😀😀😀😀A third class railway alafu the slowest bullet train
Mwaka mpya na speed tunaongezaa maboyaa nyieeeTihahahhaaaaa.... Napenda vile unajikaza kuimpress yet you know you are the poorest country in the world..... Kelele za chura haitawanusuru
Ndugu zangu, mbona baba wa demokrasia hayupo katika hiki kinyang'ang'anyiro cha mtu maarufu wa mwaka,
official link plz kabla sijakuletea below povert line😀😀😀😀😀😀😀😀