Hapa East Africa hakuna sehemu inazidi Kenya kwa slums wewe Mkundustan. Kenya mna slums level moja na India na Nigeria. Kenya haijalishi uende wapi, South, East, West au Central kote ni slums tu, ukienda North ni ukame na njaa😂😂😂
Angalia Nairobi ambayo mnaita world class city 🤣🤣🤣
View attachment 3479143View attachment 3479144View attachment 3479145View attachment 3479146View attachment 3479149View attachment 3479150
Achana na Nairobi twende Mombasa 😂😂😂
View attachment 3479160View attachment 3479159View attachment 3479158View attachment 3479156View attachment 3479155
Nchi nzima imejaa nyumba za matope na mabati na mko hapa mnatrash Tanzania. Kwenye hili suala la slums Kenya mko juu sana.
Kama unabisha nenda YouTube search slum in Tanzania (2024/2025) uone, halafu search slums in Kenya (2024/2025) ndio uone tofauti ya Jua na mwezi. Haki ya Mungu, hakuna slum chafu kama Kibera hapa East Africa 🤣🤣🤣
Hebu angalia hawa watu wanaoishi hapa, hivi wana future kweli hawa? Nchi za Africa zina watu masikini lakini Kenya mmezidi kwa kweli 😑😑
View: https://youtu.be/6rIV8TlrbLQ?si=nq3I4O_8m7bj2ppO