Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Chakushangaza ina views zaidi ya 1M
Saa nyingine napokea likes za watu ambao hawajawahi tia neno humu[emoji23][emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
bila shaka imetuleta pamoja even though it is in a strange way...but all in all, I have learnt alot abt tz from this thread...before, I never knew anything abt tz...alafu niulize, hivi kwani tanzania hakuna makampuni ya media? especially online media...
 
hii thread imetrend mwaka mzima duh! hii inaonyesha uhasama uliomo kati ya wakenya na watz...I hav a feeling it will still be trending even after 2020 because thats where the real development and transformation will take place..
asante sana buda kwa ku-notice hili jambo.

mimi niliwahi kuligusia mwezi October,pia nikaligusia tena wiki kadhaa zilizopita.

hakika hii thread ni moto.inshallah IPO siku wadogo zetu watakuja itumia kama rejea(reference).

tukutane 2018,tubishane kwa hoja ili tuzisaidie nchi zetu kufikia maendeleo tuliyojipangia.

tusibishane kwa vita,vitisho,visirani wala uadui.
fe95602bade36315de0c568160bb5aea.jpg


kwa mantiki hiyo hiyo ndio kuna fanya thread hii iwe ina-trend kwa mwaka mzima tangu ilipoanzishwa mwezi january 2017.Nina hakika ita-trend mwaka wote wa 2018.

haya yote ni kwasababu dar ni game changer...dar ndio imefanya hii thread ifike hapa ilipo...hata wewe mwenyewe una-comment hapa kwasababu in one way or the other, you are being influenced by dar...so usiidharau dar "msee"
 
hii thread imetrend mwaka mzima duh! hii inaonyesha uhasama uliomo kati ya wakenya na watz...I hav a feeling it will still be trending even after 2020 because thats where the real development and transformation will take place..
No hatred jirani,TZ na +254,ni watani, tunatoa changamoto baina yetu,nadhani 2020,kuna watu watajaza server,na kuna uwezekano wengine wakapotea humu.
 
Tanzanian Kiboko Hatutaki Sifa,Majungi
Hapa ni kazi tu


Nikusaka mapene kwa kwendambele

DIAMOND -NAIVASHA KENYA

679f08b8a5c74abe9c3432e6a074b5e6.jpg


HAPANI

LEYVAN VAN BOY - MOMBASSA KENYA

5ab99ff216b0405649dec692e63af981.jpg



RICH MAVOKO- NAIROBI KENYA
a44ce33180f117603c701553d6373d18.jpg



VANESAMDEE DIANI

3033d63355ab0751388100d8e1c0752e.jpg




SAIDA KAROLI- KAMPALA UGANDA
49dbaad12ee2a20132d07ada69a8f4d3.jpg



Hahaha watanzania wa 2017-2020 sio wa mchezo mche[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112]
 
Tanzanian Kiboko Hatutaki Sifa,Majungi
Hapa ni kazi tu


Nikusaka mapene kwa kwendambele

DIAMOND -NAIVASHA KENYA

679f08b8a5c74abe9c3432e6a074b5e6.jpg


HAPANI

LEYVAN VAN BOY - MOMBASSA KENYA

5ab99ff216b0405649dec692e63af981.jpg



RICH MAVOKO- NAIROBI KENYA
a44ce33180f117603c701553d6373d18.jpg



VANESAMDEE DIANI

3033d63355ab0751388100d8e1c0752e.jpg




SAIDA KAROLI- KAMPALA UGANDA
49dbaad12ee2a20132d07ada69a8f4d3.jpg



Hahaha watanzania wa 2017-2020 sio wa mchezo mche[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji112]
wacha vijana wafanye kazi walete pesa nyumbani
 
Back
Top Bottom