NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,977
Watchman weka yako niweke yangu tumalize hii kesi.😅Wewe fala kaweka screenshot ya zaidi ya milioni 100tzs piga hesabu ni ksh ngp alafu tuoneshe na wewe a/c yko, ikifika 5m naondoka jf.
Watchman weka yako niweke yangu tumalize hii kesi.😅Wewe fala kaweka screenshot ya zaidi ya milioni 100tzs piga hesabu ni ksh ngp alafu tuoneshe na wewe a/c yko, ikifika 5m naondoka jf.
Alichelewa kusoma, by the time wenzie tupo kazini since 2017 yeye bado anasoma na viatu vyake vyenye ndevu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndio nimejua leo, kumbe Teargass naye bado ni young
Mchafu sanaaaaNairobi ni mji mchafu
![]()
10 most polluted cities in Africa in 2024
Business Insider Africa presents the 10 most polluted cities in Africaafrica.businessinsider.com
Na ndiyo mana wameweka maelezo pasipo picha, japo ni pesa ndogo ukilinganisha na games zetu ila kwa ligi yao bado ni kubwa sanaaaa.Wakisii hawana Hela hiyo ya kulipa kiingilio...kama kawaida wameongeza sifuri
We mbeba camera nenda utafute rika yako.Watchman weka yako niweke yangu tumalize hii kesi.😅
Povu la nini kijana. Mbona una hasira hivi. Aliyepost picha yako sio mimi. Hii inaonekana imekugusa kwenye mshono 😆😆That picture was taken when you were still a toddler, usidhani Mimi ni wa rika yako wewe fundi wa Baiskeli. Where were you in 2016?
But I'm younger than most people here.
I don’t care, I just want to inform you that I’m not your age mate. I’m 10yrs older than you.Povu la nini kijana. Mbona una hasira hivi. Aliyepost picha yako sio mimi. Hii inaonekana imekugusa kwenye mshono 😆😆
Huyo hana bank account asikusumbue. Huwa anapanga foleni ili alipwe kama wale wazee wa mjengo.Watchman weka yako niweke yangu tumalize hii kesi.😅
Actually I don't care, hukuwa na haja ya kujibu kama unajua ni kitu ambacho kinaweza kufanya ukasirike. With that attitude of getting angry at small things, utazeeka mapemaI don’t care, I just want to inform you that I’m not your age mate. I’m 10yrs older than you.
Unasema anapanga line kama mpiga kura siku za Moi?🤣🤣Huyo hana bank account asikusumbue. Huwa anapanga foleni ili alipwe kama wale wazee wa mjengo.
Sawa Mchawi.
Eee. Asipopanga hapati mshahara.Unasema anapanga line kama mpiga kura siku za Moi?🤣🤣
yani niache kumwamini waziri aliesaini mikataba nikuamini ww mpumbavu 😂
Nyinyi huwa mnakula mabakio. That Ship came to Mombasa first.
View: https://x.com/Kenya_Ports/status/1969309178591142265?t=9O4nzwoAUTuRvCxGEjnf_w&s=19