The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Hakuna msanii wa Kenya anaweza kuja Tanzania akashobokewa hivi
View: https://vm.tiktok.com/ZMAyP9yPS/
Kwanza wasanii wao hata kuwajua hatuwajui, hawa wanusa gundi ni ubishi tu lkn ukweli ni kwamba tumewatawala kivyote, kiuchumi na kijamii.