The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Huna hata haja ya kubishana kuhusu hilo mkuu, nchi haiwezi hata kununua dawa za tuberculosis inapata wapi pesa ya kujenga uwanja? Road tu hata ya km 10 mpaka waombe mkopo ndo itakuwa uwanja?
Huna hata haja ya kubishana kuhusu hilo mkuu, nchi haiwezi hata kununua dawa za tuberculosis inapata wapi pesa ya kujenga uwanja? Road tu hata ya km 10 mpaka waombe mkopo ndo itakuwa uwanja?
Sema tu huna hela bawabu. Ukianzisha ligi hukua umejua yeye sii rika yako?We mbeba camera nenda utafute rika yako.
Hakuna msanii wa Kenya anaweza kuja Tanzania akashobokewa hivi
View: https://vm.tiktok.com/ZMAyP9yPS/
Kwani bado hujanyongwa? Na ikitokea umeachiwa utaacha kubeba dawa za kulevya? Je, Oman utaendelea kwenda au utabaki kupambania ugali hapo failed state? Jibu kwanza ndo tuendelee...Sema tu huna hela bawabu. Ukianzisha ligi hukua umejua yeye sii rika yako?