Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yesterday I happened to pass through this road and a lot of Tanzanian beggars were arrested along this road. Wengi walikimbia wakaacha wheelchairs.
1000064900.jpg

1000064899.jpg
 
It's a screenshot bongolala, just like the previous ones that you posted here
View attachment 3476877
Hivi wewe unaakili kweli au una njaa? Sasa si ndo ujijibu, kama hiyo ni screenshot mbn husemi nimeiba kutoka seem fulani.
Uzuri wangu ni kwamba hoja zangu are not driven by emotions like most of you here. Dar has few opportunities compared to Nairobi. They say numbers don't lie. Between Dar and Nairobi which city has more dollar millionaires? We can use that as a basis of argument
Kitu cha kwanza kinacho determine opportunities ni upatikanaji wa ajira kwa raia, hebu niambie mji gn una high employment rate kati ya Dar na nairobi.
 
Uzuri huwa siongei sana na wala sina maneno mengi, nakugonga na kitu kizito halafu nakuacha ukilia siku nzima.
View attachment 3476910
Noma, yeye atakuja na karatasi za ku download mitandaoni akuambie amewekeza, kumbe anawekeza kwenye betting kama data zinavyosema asilimia kubwa ya vijana wa kenya wawekezaji wa kwenye sports betting.
 
Noma, yeye atakuja na karatasi za ku download mitandaoni akuambie amewekeza, kumbe anawekeza kwenye betting kama data zinavyosema asilimia kubwa ya vijana wa kenya wawekezaji wa kwenye sports betting.
Umezoea kuscreenshot mapicha za watu unadhani Sisi sote ni maskini kama wewe?
 
View attachment 3476920
"Why are Tanzanians trying so hard to be seen yet you all live a fake life?"

1. We are not trying so hard to be seen Ndio maana nina uwezo wa kuingia kwenye Account bank yangu yoyote na ku take screenshot bila wasiwasi wowote.

Ndio maana siwezi kuingia mitandaoni kudownload pesa za watu na kuja kupost humu. 😂😂😂

Wewe huna uwezo wa kupost hata bank statement wala account balance, you're poor na iko hivo.
Ngoja aje na vikaratasi vyake vya mtandaoni, ambavyo huwa havifiki hata 2m akuambie yeye ni muwekezaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ndio huna akili coz you think we can't see what you posted here ni screenshot. Nimekupa hadi ushahidi ya ile comment yangu that you took a screenshot lakini bado unapiga kelele. Ulipjga screenshot kutoka Jamii Forum. Zile za kwanza ulipiga screenshot kutoka YouTube
Hivi wewe unaakili kweli au una njaa? Sasa si ndo ujijibu, kama hiyo ni screenshot mbn husemi nimeiba kutoka seem fulani.
 

Kenya sent one guy from Team C ( Vincent) and 2 guys from Team D . Tanzania sent their usual one guy who’s everywhere ( kudos to him). The top 2 ranked marathoners in the world currently are Sebastian Sawe and John Korir ( both Kenyans) and they opted for major higher paying events. Today this morning Sawe won Berlin Marathon in a world leading time . He was asked to go to Tokyo but he opted for a $500k payday in Berlin. Kenya has too much talent. Tokyo medal table as of today
IMG_7602.jpeg
 
Kenya is the First Nation in history ( Men or women) to sweep all middle and long distance races . Faith Kipyegon also became the most decorated athlete ( Men or women ) in history at major championships ( 4 world titles, 3 Olympic titles and 3 World Records not even counting several Silver medals and World cross titles and Junior level world titles )
IMG_7603.jpeg
 
Back
Top Bottom