Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnuka nnya anakwambia ni screenshot nmeiba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
By the way sikuwa nadhani kama picha zangu zingewastua namna hii, hawa jamaa aisee kweli wanachekesha, eti wamestuka kabisa kwa vitu vidogo namna hii, sijui hawa ni watu wa aina gn tuna argue nao aiseee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna aliyeshtuka wewe watchman, wqacha kujipa umuhimu yenye hauna na hautawahi kuwa nayo. We just exposed your lies kijana wa Tandale. That's why you even ended up deleting the posts
 
Hao ni watu ambao hawako focused, wakifika Dar wanaendekeza starehe. Si unajua Africa Mashariki hapa hakuna sehemu ina starehe kuliko Zanzibar na Dar. So starehe zinawachanganya watu wa vijijini badala ya kufanya kilichowaleta
Stop sugarcoating it bongolala. Few opportunities it is coupled with hali ngumu ya maisha
 
Hii nayo nmeiba auuu 🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3476686
It's a screenshot bongolala, just like the previous ones that you posted here
Dofoto_20250921_092357910.jpg
 
Eti Dar ina few opportunities, unamaanisha unachokiongea au ndo unaongea tu kwa sababu unachukia Tanzania?
Uzuri wangu ni kwamba hoja zangu are not driven by emotions like most of you here. Dar has few opportunities compared to Nairobi. They say numbers don't lie. Between Dar and Nairobi which city has more dollar millionaires? We can use that as a basis of argument
 
Heheheheeeee kwamba hamuamini kama huyo anaweza kuwa mm si ndiyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Stop taking screenshots YouTube utuletee hapa eti ni wewe. Dunia ya sasa unaweza danganya nani? And why did you delete the pictures kama kweli ni zako?
 
Back
Top Bottom