Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimechoka kuvumilia acha niulize tu. Kwani hii picha inamaanisha nini maana sijui origin yake😂😂😂
Screenshot_20250322_075853~2.jpg
 
Uzuri huwa siongei sana na wala sina maneno mengi, nakugonga na kitu kizito halafu nakuacha ukilia siku nzima.
View attachment 3476910
Why are Tanzanians trying so hard to be seen yet you all live a fake life?

Wewe tulishakuzoea na faking things, no wonder unaokota bank slips Barbarani kuja kuturingia huku. Zingine unaprint kule cyber na kukata na ruler.
 
View attachment 3476920
"Why are Tanzanians trying so hard to be seen yet you all live a fake life?"

1. We are not trying so hard to be seen Ndio maana nina uwezo wa kuingia kwenye Account bank yangu yoyote na ku take screenshot bila wasiwasi wowote.

Ndio maana siwezi kuingia mitandaoni kudownload pesa za watu na kuja kupost humu. 😂😂😂

Wewe huna uwezo wa kupost hata bank statement wala account balance, you're poor na iko hivo.
Sawa Forex Scammer. We all know how Scammers behave and clearly portray the traits of a scammer.

Last time uliniuliza bank details zangu hili uniscam nikakataa, siku hizi unakuanga na machungu Sana na Mimi.
 
Sawa Forex Scammer. We all know how Scammers behave and clearly portray the traits of a scammer.

Last time uliniuliza bank details zangu hili uniscam nikakataa, siku hizi unakuanga na machungu Sana na Mimi.
From scammer maskini to Forex scammer, i know how to do Forex trading Ila siko interested nayo.
Una characters zote za mtu masikini na fukara.
Mtu akikuzidi pesa unamuita scammer! 😂😂😂
Kubrag pesa sio tabia yangu kwa sababu najua kutafuta pesa, im hardworking ila ikibidi nabragi kwa watu sampuli yako. 😂😂😂
 
From scammer maskini to Forex scammer, i know how to do Forex trading Ila siko interested nayo.
Una characters zote za mtu masikini na fukara.
Mtu akikuzidi pesa unamuita scammer! 😂😂😂
Kubrag pesa sio tabia yangu kwa sababu najua kutafuta pesa, im hardworking ila ikibidi nabragi kwa watu sampuli yako. 😂😂😂
You are scammer and a poor scammer for that matter. Lazima Tu ubrag what you don't have to fool the stupid Tanzanians here.

By the way ikifika kwa pesa uniwezi hata kwa madawa. Kwa scamming Tu ndio utaniweza.
 
Nimechoka kuvumilia acha niulize tu. Kwani hii picha inamaanisha nini maana sijui origin yake😂😂😂View attachment 3476907
Hii picha halisi ya tiwages Teargass ,alijipost mwenyewe humu kuringishia hizo skating shoes,bwege ni machafu chafu so hapo ndio aliona kapendeza hadi kufikia kujipost humu
 
Back
Top Bottom