Barabara kama ya Morogoro Mkundi sheli.city ya matajiri 😂😂😂😂
hawa ndio wanakaza mishipa ya fuvu kushindana na dar 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View attachment 3454278View attachment 3454279View attachment 3454281View attachment 3454282View attachment 3454283View attachment 3454284View attachment 3454285View attachment 3454286
Ila jamani Mkapa nzuri aisee, kama Emirates mwanangu 😍😍😘😘🥰🥰🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umetembea mji Gani Kenya ukapata information ya kusema haya?Nyie mnatuweza kwa side walks? 🤣🤣🤣 idadi ya km za side walks zilizopo Dar zinatoshana kuweka in 3 three different cities hapo kunyarenda.. no tanzanian will brag of having them here. 🤣🤣🤣 nyie mkipata side walks kidogo taifa zima linafika kushangaa. Wewe ukiwa mmoja wapo pumbavu zako. 🤣🤣🤣
Umetembea mji Gani Kenya ukapata information ya kusema haya?
Ukipika sana baadae unaumbuka
🤣🤣🌽
View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1960537763691778070?t=h909LW268j-bYOqk8yanFA&s=19
Kutoka 500mil mpaka 12 bil
View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1960342186379100416?t=kdLUsOx5_sQRYm3MQ7iZ0A&s=19
Where is it basi?Bado unapinga na kitu kilifunguliwa thread na Watanzania wenzako? instanbul mbona watanzania mnakuwanga wabishi kwa vitu vinavyoonekana wazi? 🤣 🤣 🤣
![]()
Hizi hapa ambulance bajaj made in Mwanza, Tanzania
What is the meaning of Ambulance? :director::director::director::director:www.jamiiforums.com