Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie mnatuweza kwa side walks? 🤣🤣🤣 idadi ya km za side walks zilizopo Dar zinatoshana kuweka in 3 three different cities hapo kunyarenda.. no tanzanian will brag of having them here. 🤣🤣🤣 nyie mkipata side walks kidogo taifa zima linafika kushangaa. Wewe ukiwa mmoja wapo pumbavu zako. 🤣🤣🤣
Umetembea mji Gani Kenya ukapata information ya kusema haya?
 
Umetembea mji Gani Kenya ukapata information ya kusema haya?
Screenshot_20250827-070135.png

Maku nyie
 
Bado unapinga na kitu kilifunguliwa thread na Watanzania wenzako? instanbul mbona watanzania mnakuwanga wabishi kwa vitu vinavyoonekana wazi? 🤣 🤣 🤣

Where is it basi?

Kwahiyo na mimi nikiandika hapa thread niweke majengo makali eti yatajengwa Tanzania ni fact?

Acha upuuzi yapo hospital gani sasa?

Any I am waiting gari ya serikali ya 40yrs
 
Jamaa wanaumizwa sana na maendeleo ya TZ,ndio wapo tayari kuokota vipicha vya sehemu nyingine huko ili waichafue tu nchi yetu
Imagine jamaa kafika Kigoma na atakwambia ni Dar huku atatafuta picha ya Nairobi kuonesha ni nzuri kuliko Kigoma.

Wasenge sana wanasahau North Kenya kuna watu wanakufa kwa njaa, imagine unakufa kwa njaa huku wapuuzi wanakuita TAJIRI 😂😂
 
Nioneshe kilomita moja ya reli. Muda unakimbia sana. Kuna kenge walikuwa hawaamini vitu kama hivyo ndio vitakuwa juu ya reli yetu
😂😂😂😂

Huoni huyo mwingine kakimbilia Kigoma now huku akijichoresha imagine Kigoma 1000+kmh from Dar ndio anaenda kutafuta vitu vya kuonesha Nairobi ni nzuri.

While anaacha Northern Kenya mtu anaitwa TAJIRI anakula mzoga na anategemea msaada wa chakula, usalama zero.

Imagine

Yaani ni vichekesho tupu, mtu anakunaga na msaada wa Daftari wa kupewa primary.

Huku yeye ana msaada wa kuzuia kunya vichakani 😂
 
😂😂😂😂

Huoni huyo mwingine kakimbilia Kigoma now huku akijichoresha imagine Kigoma 1000+kmh from Dar ndio anaenda kutafuta vitu vya kuonesha Nairobi ni nzuri.

While anaacha Northern Kenya mtu anaitwa TAJIRI anakula mzoga na anategemea msaada wa chakula, usalama zero.

Imagine

Yaani ni vichekesho tupu, mtu anakunaga na msaada wa Daftari wa kupewa primary.

Huku yeye ana msaada wa kuzuia kunya vichakani 😂
Kigoma mbona ipo poa!?

View: https://x.com/kigomatanzania/status/1949464132346069032?s=46



View: https://x.com/tonsh14/status/1932380835136569732?s=46
 
Back
Top Bottom