Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee wa open defecation
Picha ya kwanza

View attachment 3454062
Sioni chochote kua ni ambulance ya Tanzania Government, zaidi ya NGO kujaribu kuleta moja for test hatujui hata iko wapi?

Second picture umeibeba kutoka malawi as if GOOGLE IMAGE LENS hujui inaexist



How desperate mko kweli yote hayo kisa Whole 100B GDP kumiliki this

View attachment 3454064


Wazee wa Open defecation ya msaada
Ebu tuonyeshe barabara inaweza toshea magari ndani ya streets za lamu old town? Si unaona ulivyo pumbavu, nyinyi mumekosa ambulance hadi mumepewa baiskeli vijijini ju ya umaskini.
 
Republic of vumbistan. Hii pia wanaita town. 🤣 🤣 🤣
Image


Image
 
"Barabara imefungwa" kumaanisha kuna ujenzi unaendelea, kazi ni kutumia kichwa kama kabati ya meno. 😂😂😂
Kwa hivyo kama imefungwa inamaanisha hapo sio bongoslum? 🤣 🤣 🤣 Unareason kama pumbavu, na hata tunaona magari zimepark huko kwa vumbi.
 
Jangwani area ilikuwa moja ya perfect area ya kupunguza foleni Dar es Salaam.

Interchange moja ingeondoa foleni Fire, Magomeni, ilala, salendar, kariakoo na Karume
Basi tu hatuna mtu mwenye maamuzi magumu

Kitu kama hiki kingewezakana vzr tu jangwani.
Na nguzo ni kuzirefusha tu kama walivyofanya Magufuli au wami
View attachment 3454004
Yan hii interchange inafit kabisa pale jangwani,juu huko gari za kutokea kkoo na magomeni,hizo diversion ndio za kuingilia na kutokea salendar,kinondoni na kigogo
 
Back
Top Bottom