kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,638
- 4,277
😂 😂 Zima hio bangiDunia sasa inaitazama Tanzania katika kila jambo. Wakenya vipi huku mnatamani sana lakini hamfiki
View attachment 3442310
😂 😂 Zima hio bangiDunia sasa inaitazama Tanzania katika kila jambo. Wakenya vipi huku mnatamani sana lakini hamfiki
View attachment 3442310
Lakini ile ujinga yenye iko kwenye hii nchi..😡😡😡..
View: https://x.com/TheNairobiTimez/status/1956313939085529460
Mbona msiwapeleke kotini? wewe unaweza furahia kuona babako anapigwwa vichapo mbele ya media hivyo?si natarajia mko na sheria kwa nchi yenu ?Hao ni wanunuzi wa vyuma chakavu (skrepa) walikamatwa kwa kosa la kuiba viti vya shule na kwenda kuuza, nashangaa wakumbafu wa kunyaland mmebadilisha title kwa ajili ya engagement farming!
Mwanaume yuko peke yake akipata baridi huku ana sharpen mashine kusubiria mtu wa kumuoa.
sheria ya viboko ipo pia.Mbona msiwapeleke kotini? wewe unaweza furahia kuona babako anapigwwa vichapo mbele ya media hivyo?si natarajia mko na sheria kwa nchi yenu ?
Nyang’au ukimkumbusha kuhusu slums za Nairobi anakuwa mkali kweli kweli🤣Ukiwambiwa 2.5M dwellers unaelewa ni kitu gani? Ngoja nikupatie elimu tu, dweller wanaoongelewa are people. Siyo njiwa.
Lakini ile ujinga yenye iko kwenye hii nchi..😡😡😡..
View: https://x.com/TheNairobiTimez/status/1956313939085529460
Toka tumezaliwa Hadi tunazeeka stori ni zile zile tuu
View: https://www.instagram.com/p/DNYcbUuoZjq/?igsh=MWpyd2E4dDZkZ2dvOA==
These people still live in medieval times. Watakuambia wananyorosha nchi.🤣🤣
JHEPP kuna pesa ya mkopo pia.Kama tuliweza kujenga JNHEPP kwa hela yetu kwanini serikali ishindwe huu mradi ambao makisio yake yalikuwa USD 3bn. tuwekeze kidogokidogo in partnership with foreign investor through STAMICO in 5 years uwe up and running. economic return yake ni kubwa sana.
Tukiwaambia Tanzania ushabiki wa mpira ni kati ya Yanga na Simba mnanuna., watch East African school games in Kakamega county Musingu(Kenya) VS Tanzanian school from Morogoro (Champions wa Tz)..,
Link👇👇 live match.., tazama fans walivyo jaa!!
View: https://www.facebook.com/nyotatvke/videos/1676108146383299/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
Wanaweza kutumia hiyo deposits as leverage ya kupata loan ya ku finance SGR from Mtwara to Liganga and Mchuchuma...Kama tuliweza kujenga JNHEPP kwa hela yetu kwanini serikali ishindwe huu mradi ambao makisio yake yalikuwa USD 3bn. tuwekeze kidogokidogo in partnership with foreign investor through STAMICO in 5 years uwe up and running. economic return yake ni kubwa sana.