Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao ni wanunuzi wa vyuma chakavu (skrepa) walikamatwa kwa kosa la kuiba viti vya shule na kwenda kuuza, nashangaa wakumbafu wa kunyaland mmebadilisha title kwa ajili ya engagement farming!
Mbona msiwapeleke kotini? wewe unaweza furahia kuona babako anapigwwa vichapo mbele ya media hivyo?si natarajia mko na sheria kwa nchi yenu ?
 
These people still live in medieval times. Watakuambia wananyorosha nchi.🤣🤣
1755280137480.png

modern times living
 
Kama tuliweza kujenga JNHEPP kwa hela yetu kwanini serikali ishindwe huu mradi ambao makisio yake yalikuwa USD 3bn. tuwekeze kidogokidogo in partnership with foreign investor through STAMICO in 5 years uwe up and running. economic return yake ni kubwa sana.
JHEPP kuna pesa ya mkopo pia.

Trilioni 6.5 parefu, kutumia own source pekee
 
Kama tuliweza kujenga JNHEPP kwa hela yetu kwanini serikali ishindwe huu mradi ambao makisio yake yalikuwa USD 3bn. tuwekeze kidogokidogo in partnership with foreign investor through STAMICO in 5 years uwe up and running. economic return yake ni kubwa sana.
Wanaweza kutumia hiyo deposits as leverage ya kupata loan ya ku finance SGR from Mtwara to Liganga and Mchuchuma...

Na ni plan ambayo ipo on pipeline kuhusu ujenzi wa hiyo reli na preliminary feasibility nadhani imefanyika
 
Back
Top Bottom