Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umekosa jibu. Where is your port infrastructure. 🤣🤣🤣 Munafungua viwanja bila infrastructure munaita ports.
All ports are under construction. Another one I forgot to mention Chongoleani oil export terminal loading. Lazima ulie tuu
1754503699633.png
 
Tanzania hizi ni aibu gani surely? 50 bob Tu inawashinda kupata?😂😂😂

Your national team is playing and the stadium is empty as if there's nothing happening there.

1000039439.jpg
 
Yani hata baada ya watu 10,000 kuingia bure bado mkapa ni half empty na ni team ya nyumbani inacheza
1000061054.jpg

1000061062.jpg


Meanwhile kenya mashabiki wanastruggle hata kununua tiketi. Mechi mbili za kenya zifuatazo tickets zishaisha tyari
1000061055.jpg

Watanzania ni domo domo tu wanajua
 
Hawana shillingi hamsini. 🤣 🤣 🤣 Poverty is bad.


View: https://x.com/ItsKubasu/status/1953139271088411007

TZ mpira upo kwenye damu,ndio maana miaka karibia 10 cecafa cup inaandaliwa TZ tu,muulize musonye mkunya mwenzio,khs wakundunya kujaza uwanja hii chan,mkundunya anapenda camera,yan mkundunya akiiona camera anachanganyikiwa ndio maana hata yale maandamano yenu ufanya vile ili tu waonekane duniani huko
 
TZ mpira upo kwenye damu,ndio maana miaka karibia 10 cecafa cup inaandaliwa TZ tu,muulize musonye mkunya mwenzio,khs wakundunya kujaza uwanja hii chan,mkundunya anapenda camera,yan mkundunya akiiona camera anachanganyikiwa ndio maana hata yale maandamano yenu ufanya vile ili tu waonekane duniani huko
Minyang'au inaumia kweli kweli, iangalie matokeo sasa😁
 
Your source is tomato sauce. World Bank wanasema bongoslum ni 70%

Hiyo ripoti yenyewe ya wb hajakamilika.
Pia unaleta ripoti ya 2022.
Nchi zingine zimeansdikiwa ripoti ya 2021 zingine ripoti ya 2020.
Halafu zote zikawekwa ndani ya ripoti moja.
Uko serious kweli!?
Aya tutajie hizo slums za Tanzania?
 
Data cookers know how to massage your ego
Tena walivyokua wapuuzi hizo ni data za 2020 zingine ni 2022 zingine 2021.
Sasa unajiuliza unachukuaje data za miaka tofauti ukaziweka kuwa data za mwaka mmoja!?
Hapa ndipo utaona akili za Kenya hazina akili.
 
Back
Top Bottom