Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

coodip1 mbona munaita kiwanja port. 🤣🤣

20250806_163046.jpg
 
World bank wamemaliza ubishi., utafiti wa 2025, sio hii yako source uchwara., they use contemporary research methods and data analysis, even employing physical observation, boss wajadanganya linaonekana ata kwa satellite images🤣🤣🤣🤣🤣., pia wageni wanaona tofauti kati ya Kenya na Tanzania 🤣🤣🤣🤣
Data cookers know how to massage your ego
 
Data cookers know how to massage your ego
Yaani hiyo data ya world bank inakubaliana na picha halisi ya Tanzania, kwanza Dar, 80-90% ni uswazi., pia utasema baadhi ya hawa👇 wageni ni watu wa World Bank na propagandist, maadui wa Tanzania eti🤣🤣🤣🤣., yaani shahidi wa hakika, zero bias, sio mkenya Wala mtanzania, absolutely objective!!., pia Kuna a lady wa Ethiopia kafika Dar na Nairobi, kauli yake ina kubaliana na ya huyu, licha ya kuona BRT🤣🤣.., na usisahau baba Levo wenu🤣🤣🤣
 
Huko ndio kwa middle class, nyumba kali kali eti. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum hakuna surveyors, munajenga tu vile munataka, hata barabara hamjui inafaa kupita wapi, munajenga tu kama panya.
downloadfile-21.jpg

Halafu nyie mliokua mna surveyors mkacreate slum 1 km from cbd
 
Yaani hiyo data ya world bank inakubaliana na picha halisi ya Tanzania, kwanza Dar, 80-90% ni uswazi., pia utasema baadhi ya hawa👇 wageni ni watu wa World Bank na propagandist, maadui wa Tanzania eti🤣🤣🤣🤣., yaani shahidi wa hakika, zero bias, sio mkenya Wala mtanzania, absolutely objective!!., pia Kuna a lady wa Ethiopia kafika Dar na Nairobi, kauli yake ina kubaliana na ya huyu, licha ya kuona BRT🤣🤣.., na usisahau baba Levo wenu🤣🤣🤣
View attachment 3433884
Huyo jamaa alikuja Dar es Salaam. Akafikia kwa rafiki yake mmoja anaitwa Mark Meets Africa.

Hiyo Mark Meets Africa (black American) alikuwa anakaa Vingunguti, ambako kwa Dar ni eneo la low income earners. Eneo linaloonekana ukiwa unashuka JNIA.

So, route yake ni Airport, Vingunguti to Kariakoo.

Our so called Slums mpaka hao black americans wanaishi, kuanzia Vingunguti, Tegeta to Gongolamboto.

Nairobi hakuna mtu expats anaweza kuishi Kibera au Korogocho.

Haijui hata Dar sa salaam
 
Yaani hiyo data ya world bank inakubaliana na picha halisi ya Tanzania, kwanza Dar, 80-90% ni uswazi., pia utasema baadhi ya hawa👇 wageni ni watu wa World Bank na propagandist, maadui wa Tanzania eti🤣🤣🤣🤣., yaani shahidi wa hakika, zero bias, sio mkenya Wala mtanzania, absolutely objective!!., pia Kuna a lady wa Ethiopia kafika Dar na Nairobi, kauli yake ina kubaliana na ya huyu, licha ya kuona BRT🤣🤣.., na usisahau baba Levo wenu🤣🤣🤣
View attachment 3433884
Tulisha maliza mjadala wa hawa. Hizi ni kampeni za Wakenya kijikweza via Waamerica wenye asili ya Kenya. 🚮 🚮
 
Tofauti ni eti yenu coverage ni 80% na zaidi.., Inakubaliana na World Bank findings..,
Jipange uende Makwapa mapema Leo mko na game🤣🤣🤣.,
View attachment 3433954
View attachment 3433943
View attachment 3433947
View attachment 3433946
View attachment 3433944
View attachment 3433955
View attachment 3433952
View attachment 3433956
View attachment 3433957

View: https://youtube.com/shorts/pcoPr0-dAxg?si=4wVWQNYfWciUyRw3 sio kosa lako,ni chang'aa uliyopiga hapo happy bar ndio inakufanya uvurugukiwe akili
 
Uta hangaika tu.., jikubali mlivyo kisha tafuta jinsi ya kujikomboa.., mko hovyoooo!
Screenshot_20250806-174119.png

Mliokua vizuri mnamiliki largest slum in africa,ni chizi tu ndio anaweza kujikubali na hayo maslum yenu,binafsi ningekua mkunya kwenye masuala ya makazi nisingetia neno humu,na akili zenu kabisa mnatetea hizo takataka,then I know right now upo google huko ukisearch slum za TZ,ila majibu yake yanakudisappoint 😃
 
Back
Top Bottom