Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I thought you were kidding😂😂😂🤣🤣.

70% of Tanzanian urban population lives in Slum compared to 40% ya Kenya, hii ni majabu😂😂😂😂

View attachment 3433781
Dead serious. 😄 Si hua tunwaambia hapa kila siku, hadi tunawawekea aerial view na bado wako in denial. Bongolalas ni wajinga, they think slums ni nyumba za mabati. 🤣🤣
 

World bank wamemaliza ubishi., utafiti wa 2025, sio hii yako source uchwara., they use contemporary research methods and data analysis, even employing physical observation, boss wajadanganya linaonekana ata kwa satellite images🤣🤣🤣🤣🤣., pia wageni wanaona tofauti kati ya Kenya na Tanzania 🤣🤣🤣🤣
 
Watajitetea, facts ni dawa ya mtanzania., watabisha hadi basi🤣🤣🤣🤣., but it agrees with reality kwa ground., ata muonekano ya Dar is clearly 80-90% ghetto!.
World bank wamewaonea huruma. It should be around 99%.

I’m sure 99.9% of Tanzanians here live in those slums😂😂
 
another big event🇹🇿
IMG_7610.jpeg
 
World bank wamewaonea huruma. It should be around 99%.

I’m sure 99.9% of Tanzanians here live in those slums😂😂
Those guys live proper slum life, niliona bongolala flani akishangaa eti Nairobi hatuuzi unga wa kupima, eti bongoslum wanapimiwa hadi unga quarter. 🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

uko tayar kufa njaa ili kuficha aibu yako
Hiyo inaitwa kufa na tai shingoni😎
 
World bank wamemaliza ubishi., utafiti wa 2025, sio hii yako source uchwara., they use contemporary research methods and data analysis, even employing physical observation, boss wajadanganya linaonekana ata kwa satellite images🤣🤣🤣🤣🤣., pia wageni wanaona tofauti kati ya Kenya na Tanzania 🤣🤣🤣🤣
Data cookers know how to massage your ego
 
Data cookers know how to massage your ego
Yaani hiyo data ya world bank inakubaliana na picha halisi ya Tanzania, kwanza Dar, 80-90% ni uswazi., pia utasema baadhi ya hawa👇 wageni ni watu wa World Bank na propagandist, maadui wa Tanzania eti🤣🤣🤣🤣., yaani shahidi wa hakika, zero bias, sio mkenya Wala mtanzania, absolutely objective!!., pia Kuna a lady wa Ethiopia kafika Dar na Nairobi, kauli yake ina kubaliana na ya huyu, licha ya kuona BRT🤣🤣.., na usisahau baba Levo wenu🤣🤣🤣
 
Huko ndio kwa middle class, nyumba kali kali eti. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum hakuna surveyors, munajenga tu vile munataka, hata barabara hamjui inafaa kupita wapi, munajenga tu kama panya.
downloadfile-21.jpg

Halafu nyie mliokua mna surveyors mkacreate slum 1 km from cbd
 
Yaani hiyo data ya world bank inakubaliana na picha halisi ya Tanzania, kwanza Dar, 80-90% ni uswazi., pia utasema baadhi ya hawa👇 wageni ni watu wa World Bank na propagandist, maadui wa Tanzania eti🤣🤣🤣🤣., yaani shahidi wa hakika, zero bias, sio mkenya Wala mtanzania, absolutely objective!!., pia Kuna a lady wa Ethiopia kafika Dar na Nairobi, kauli yake ina kubaliana na ya huyu, licha ya kuona BRT🤣🤣.., na usisahau baba Levo wenu🤣🤣🤣
View attachment 3433884
Huyo jamaa alikuja Dar es Salaam. Akafikia kwa rafiki yake mmoja anaitwa Mark Meets Africa.

Hiyo Mark Meets Africa (black American) alikuwa anakaa Vingunguti, ambako kwa Dar ni eneo la low income earners. Eneo linaloonekana ukiwa unashuka JNIA.

So, route yake ni Airport, Vingunguti to Kariakoo.

Our so called Slums mpaka hao black americans wanaishi, kuanzia Vingunguti, Tegeta to Gongolamboto.

Nairobi hakuna mtu expats anaweza kuishi Kibera au Korogocho.

Haijui hata Dar sa salaam
 
Yaani hiyo data ya world bank inakubaliana na picha halisi ya Tanzania, kwanza Dar, 80-90% ni uswazi., pia utasema baadhi ya hawa👇 wageni ni watu wa World Bank na propagandist, maadui wa Tanzania eti🤣🤣🤣🤣., yaani shahidi wa hakika, zero bias, sio mkenya Wala mtanzania, absolutely objective!!., pia Kuna a lady wa Ethiopia kafika Dar na Nairobi, kauli yake ina kubaliana na ya huyu, licha ya kuona BRT🤣🤣.., na usisahau baba Levo wenu🤣🤣🤣
View attachment 3433884
Tulisha maliza mjadala wa hawa. Hizi ni kampeni za Wakenya kijikweza via Waamerica wenye asili ya Kenya. 🚮 🚮
 
Back
Top Bottom