KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,820
Upanga tour
Hatuwezi kerwa na baiskeli mzee wala mbio za farasi,tunakerwa na njaa.Mbona mna vijineno vingi kama vya watu waliokerwa, kila kitu mko na issue nacho, mkiletewa magari ya 4x4 mnasema ni uchafu, mkiletewa baiskeli nayo ni shida.... Hapo juu anneal kaandika number 5. Culture and lifestyle , number 8. Places to visit
Sasa mbona mnaleta issue tena
Lazima mjidanganyeMzizima towers 133.91metres 35 floors
Times tower 140metres 38 floors
Wewe bado hujaanza kupiga picha za mbagala au ulikula nauli hata kujaja bado???Mzizima towers 133.91metres 35 floors
Times tower 140metres 38 floors
30 zenyewe hazijafika mkenya sio mtu wa kumuamini kwenye maneno yake 10 chukua moja tu uondoke
Ni 28 kumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]30 zenyewe hazijafika mkenya sio mtu wa kumuamini kwenye maneno yake 10 chukua moja tu uondoke
Unaongelea kicc mbuzi we we...times tower was completed in 1990sAfu kumbe sio 30 ata
Ni 28flrs[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna cku nikaona na Kenyata wikipedia wameibadirisha iwe 33flr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
![]()
28flrs[emoji23][emoji23][emoji23]Unaongelea kicc mbuzi we we...times tower was completed in 1990s