Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti siku moja, unadhani sisi ni mafala. 🤣 🤣 🤣 As if is the first time we have witnessed mukipagania public transport. Watu maskini who can't afford other options si ndio wanapigania hizo mabasi zenu, so nani maskini?
Siyo tunadhani, nyie kwa uhakika ni mafala, Yaani uanze kutupigia kelele kutoka nchi failed(Kenya). Dar kwa sasa inashindana Dallas Texas
Suhahidi huu hapa: 👇 👇 👇 👇


View: https://www.instagram.com/p/DMaQmcKNcbY/?utm_source=ig_web_copy_link

Nairobi inashindana na Mogadishu
 
Enyewe hapa itabidi ubane kende au uanguke ukufe. 🤣 🤣

Image
Picha ya zamani sana
 
Give me one model only and i will be satisfied na kukubaliana na wewe. Hakuna haja ya kutafuta picha na kuweka maelezo mengi while you could have just typed one word the name of the model ingetosha.
Models of Kenyan made buses.

Emirata
Polo
Sultan
Sherrif
Majesta
Futura
 
Back
Top Bottom