Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bunge gani la ulaya ilikaa siku nzima ikijadili swala na Lissu. Are you living in Utopia?
Wewe mbumbu kutoka Kibera haya mambo huwezi kuyajua. Tanzania ni kubwa sana hapa Duniani
1752177128945.png


 
Kwikwikwikwikwi. Wewe ni tajiri katika ulimwengu wa roho but not in physical world 🤣 🤣 🤣 🤣
Uzuri in physical world sijaiibicha picha ya mwanaume mwenzangu nikijifanya ni Mimi. No wonder wewe ni shoga.
 
Nani anajifariji?
Ukweli unauma au siyo!?
Wewe na wenzako ndio mnaumwa na ukweli. You said the same thing about CHAN but as we already all know, the finals will be held in Nairobi.

Now you are saying how much we'll not host AFCON. Mezeni tembe ya maumivu coz yajayo yanafurahisha!
 
Hata kama tunachelewa ila tunajenga kulingana na uhitaji.
Sasa kaka mfano Morogoro ukajenge flyover ya nini?
Ndio tunapokosea hapo tunafaa tujenge kulingana na uhitaji wa mbeleni sio sasa kama serikali inafahamu mji unapanuka kwa kasi kwanini wajenge lane 2 alafu badae baada ya miaka 5 waje wabomoe tena waongeze lane moja kila upande
 
Wewe mbumbu kutoka Kibera haya mambo huwezi kuyajua. Tanzania ni kubwa sana hapa Duniani
View attachment 3400814

Wewe hata sijui nikuambie nini


 
Wewe na wenzako ndio mnaumwa na ukweli. You said the same thing about CHAN but as we already all know, the finals will be held in Nairobi.

Now you are saying how much we'll not host AFCON. Mezeni tembe ya maumivu coz yajayo yanafurahisha!
Hiyo CHAN imeshachezeka?
Unadhani kwa yanayoendelea ndio muachiwe mu host Afcon!?
Heheheh poleni sana time will tell.
 
Ndio tunapokosea hapo tunafaa tujenge kulingana na uhitaji wa mbeleni sio sasa kama serikali inafahamu mji unapanuka kwa kasi kwanini wajenge lane 2 alafu badae baada ya miaka 5 waje wabomoe tena waongeze lane moja kila upande
Shida nayo serikali yetu wataalamu huwekwa pembeni na siasa zinatawala hadi kwenye utaalamu.
 
Gari sita chini: 4 na mbili kulia, then gari tatu juu. Nyie ni Taifa lawatu wapumbavu sana 🚮 🚮
Sasa interchange ya nini hapo na hakuna hata gari, no wonder the country is flat-broke🚮🚮
Yani hakuna ubize wowote ule wa magari ila wamba wakapoteza mipesa yote hiyo.😂😂😂😂😂hawa jamaa akili hawana.
 
Back
Top Bottom