Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yet the same Palestine supported Uganda in your war with Amin. Na tukiwaambia historia yenu ni ya kupigiwa hekaya na Nyerere mnatuona wajinga. Hadi wa leo you guys still play Nyerere's stories in your radio stations na huo upuzi unafanya vitoto vidogo kama Sama boy 255 vijione magwiji wa historia.
Not only palestine but also East Germany and North Korea
 
Kwenye hiyo report nioneshe waliposema passengers numbers 2025 au 2024/25. Maana hiyo ni mumbers za mwaka 2024 kama mwaka while sgr started in July/August 2025
Those are full year numbers, Kama hufurahishwi Nenda ukanyonge the editor of that report.
 
Your economy is twice ours sio according to many kunyans how comes our exports of goods have insignificant difference. Do you smell something?
Tena tune imechange? Si mmekuwa Mlisema hapa ati your exports is twice Kenyan exports? What happened to that song?🤣🤣🤣😂
 

MISS GRAND TANZANIA 2025​


💕Miss Grand Singida 2025 💕
Adelina David Mpinga, a vibrant and ambitious 21-year-old whose jolly spirit lights up every room she enters.

View attachment 3397106
Screenshot_20250602-100504.png

TZ ina safari ndefu kutufikia sisi kundudwellers 😅
 
Yaan umaskini uliopo Kenya, Mungu ndo anajua. Yaan mpaka watu wanafikia hatua hii ya kuiba viroba vya unga ujue maisha yamefikia shingoni.
Halafu wanasemaga wako civilized online.

Tanzania tulishatoka huko. Tanzania watu walishadevelop, ni serikali tu kuwekeza na kuongeza infrastructure

Huku Kenya Bado kuna kazi kubwa ya kufanya

View: https://www.facebook.com/share/v/1DTvZeFgaH/
 
Back
Top Bottom