Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya inapata watalii kwasababu ya uongo pamoja na KQ kupeleka watalii Kenya.

TZ huwa ikipiga KQ ban ya kutua nchini, tauari hiwa wanapata mgogoro na wateja wao.

Mara nyingi huwa KQ inabeba watalii, then inawapeleka Masaai Mara, then inawapitisha Musoma mpaka Serengeti.

Serengeti, Kilimanjaro, Zanzibar, Tarangire, Ngorongoro ni LIFETIME DREAM DESTINATIONS za watu duniani.

Watu wanaweka akiba wafike hata moja moja kwa maisha yao.
KQ gani inaenda maasai mara? Wewe hupenda sana kuropokwa.
 
Narok ikajilinganishe na ilala au temeke ambayo ni district ya dar es salaam with les than sq700km
Anyway Kenya is only developed in Nairobi,Kisumu,Mombasa lakini tz inaendelea kote ndo maana ukiangalia revenue collection by osr of the lowest regions in Tanzania ni sawasawa na 15 counties with the lowest osr collection. Mind you administrative ya county in Kenya Iko ni administration ya provinces in Tanzania.
Ilikuwanga Nairobi pekee, siku hizi ishaafika Kisumu na Mombasa? 🤣 🤣
 
Unahesabu hadi local tourists while in Kenya the number is for international tourists only.
Usilie bado hata kwa hapo international tourist
chrome_screenshot_Jun 24, 2025 2_00_57 PM GMT+03_00.png

Bado number of tourist tz imewazidi
 
Back
Top Bottom