Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Iran has no tactical knowledge on wars. Israel is hitting on the head by eliminating key military assets.


View: https://x.com/IDF/status/1936376645155524644

Hizo ni decoy nenda kafuatilie vizuri.
Iran millitary components ziko underground situated.
Na hiyo mbinu ndiyo waliitumia kumshinda Israel 2006 walipokua wanamsaidia Hizbollah Lebanon.
Pia mbinu hii hii Iran waliitumia kumshinda Iraq ya Saddam Hussein na washirika wake USA,France and UK kwenye Iran-Iraq war 1980-1988.
 

Vinu vya nuclear Iran vyote vimehamishwa na kupelekwa FORDOW.
Hizo sites hazina nuclear reactors hata moja.
Na aliyesaidia hiyo evacuation ni Russia.
Screenshot_20250621-144339.png
 
Hizo ni decoy nenda kafuatilie vizuri.
Iran millitary components ziko underground situated.
Na hiyo mbinu ndiyo waliitumia kumshinda Israel 2006 walipokua wanamsaidia Hizbollah Lebanon.
Pia mbinu hii hii Iran waliitumia kumshinda Iraq ya Saddam Hussein na washirika wake USA,France and UK kwenye Iran-Iraq war 1980-1988.
Kati yako na Israel Defense Forces nani anajua zaidi? Unadhani hapa Quacks wanatakikana?
 
You cannot defeat Iran by killing his top millitary commanders.
Iran has built a competitive chain of succession in leadership matters.
Enda ukasome vita ya Iran-Iraq war iliyodumu kwa miaka 8 na Iran kuibuka mshindi.
Israel is winning the war. That’s why Iranian airspace is currently the playing ground of Israeli jets, they get in and out anytime they want.
 
Kati yako na Israel Defense Forces nani anajua zaidi? Unadhani hapa Quacks wanatakikana?
Hii vita umeifuatilia toka mwanzo??
Israel toka mwanzo Ijumaa 13/06 walitangaza wameharibu ADS na missile launchers zote za Iran.
Je Iran aliwezaje kurusha makombora siku hiyo hiyo dhidi ya Israel??
Wewe baki huku tu Nai vs Dar geopolitics huna unalojua.
 
Hii vita umeifuatilia toka mwanzo??
Israel toka mwanzo Ijumaa 13/06 walitangaza wameharibu ADS na missile launchers zote za Iran.
Je Iran aliwezaje kurusha makombora siku hiyo hiyo dhidi ya Israel??
Wewe baki huku tu Nai vs Dar geopolitics huna unalojua.
Wewe hujui chochote. Show me any military facility that Iran has bombed tofauti na kurusha kombora anyhow.


View: https://x.com/IDF/status/1935966330135404610
 
Kama nakivubo mwanangu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🚮🚮🚮💩💩💩💩
Unaijua Nakivubo Stadium kweli, nje ya Mkapa hakuna stadium Tz looks better than Nakivubo.., Tanzania stadium ni moja, zingine ni level ya vibanda..., Uganda has this 👇 Nakivubo and Mandela both are classy.., wachana na hizo taka taka zenu mnaweka canopy kuficha sura mbaya😂😂
FwZpH2xX0AA-Ina.jpg

untitled-822535461098271409262.jpg

Nakivubo-Stadium1-1.jpeg

images-10.jpg
 
Back
Top Bottom