Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona hakuna maghorofa, Karen, Muthaiga, Runda?

Hujiulizi?

Maghorofa mnajengewa ngie Fedha estsmate, Pipeline kama Loosers.
We also have apartments in Kilimani, Kileleshwa, Woodley, Parklands et al where you can't even afford a studio.
When you understand City Planning, you can come we talk.
 
Hakili ndogo ukijenga gorofa unaminimize space ila privacy hamna ukijenga nyumba yako peke yako unatumia eneo kubwa ila privacy iko juu.

Guess what, Russia the biggest country in the world by land size, wanaishii kwa maghorofa. Who are you to advise us?

Next time jifunze kufwatilia thread, uwache uvivu na kurukia arguments katikati.
 
Sasa unalinganisha uswazi made city with richest and most developed city in entire East and Central Africa "Nairobi"
Rich what? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
1750485567318.png
 
Na airtanzania na airlines nyingine zinapata enough bookings, SGR ipo full booked daily na hundreds of luxury busses kila siku zinaingia mzigoni yet kuna Mkundustan mahali ana guts za kujilinganisha na Tanzania kwenye transportation and logistics
Logistics companies zilivyo nyingi TZ hii mwenye akili wala aumizi kichwa kuhusu dar port kuwa ndio port inayopokea meli nyingi
 
That's not a city.

It's an estate owned by a single company.


Show a video footage of any whole town in Kenya.

Remember, we are talking about city planning, MFs

This is Tanga city, video footage.


View: https://youtube.com/shorts/x86fM4bkBag?si=Ke5hQPDt27gEDf0W

Kwa hivo hii ni City?🤣 🤣

View: https://x.com/EngMapundajr/status/1889181962868326749

Alafu hiyo Tanga ndio unaita planning? 🤣 🤣
Chamoto njoo uchukue hii ng'ombe yako. Ama labda inafanya ile trolling ulikuwa unaongelea. 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom