Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Kweli ww ni kiazi mtu mali zake zipo Tanzania na ameajili watanzania sasa unakasilika nn son hata mm njoo nikuajili wala usikonde uta enepa sana
Yani wewe unasherehekea pesa za Muhindi wakati unaishi Uswazi Tandale? Alafu wewe mwenyewe umeskika ukitamba humu eti una umri mkubwa. Enyewe mwafrika anahitaji ukombozi. 🤣 🤣 🤣