Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kipato duni mnachopata ndio maana wengi wenu baada ya kazi weekend mnatembea majumba ya watu kuomba kufua nguo ana kufanya usafi.
Nation of beggars!
Watu wako na laundry machines kwa nyumba lakini wewe bado unaongea kuhusu mambo ya mtu kuomba kufua nguo, ushaiona laundry machine? Let alone kuitumia ama kuimiliki.
 
Nimemuona huku kwenye sherry party yao ya kushangilia 5 meters of pavement countrywide wakati Dar zinajengwa kilometers 350 through BRT na projects za DMDP hata kuumba maneno hajui masikini kuna kipindi niliona clip yake mkapa anafosi kweli comparison na Kasarani sikujua kama ndio huyu ng'ombe, Kasarani hata elevator haina 😂😂
View attachment 3353171
Ni Makwapa ndio nashuku Kama Ina elevator. Kasarani has a very big elevators and guess what? Saa hii Makwapa haifikii Kasarani hata kwa dawa.
 
Tuliombwa msamaha lakini wakundustan wanaijadili if kwenye msamaha, wajue tu Tanzania sio ya kuchezea

Screenshot_20250528-155246.jpg
 
Chamoto bro, why don’t you run for a government seat ( you are a very educated fella) . Aren’t you concerned your government is led by bunch of school drop outs? . Those resumes are scary for individuals in positions of modern day power ( no pun)
My kids still rely on me and need my presence in their lives.
 
Back
Top Bottom