Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The revamped Pipeline ya leo ikija Dar itakua same level(or even better than) apartments za Dar ndani ya CBD yenu..,
Pipeline reloaded 2025🔥🔥
figure-1.jpg

picture1.jpg

images-4.jpg

jujanhkb749j9z572ee3dfb5214.jpg

images-3.jpg
 
Wana maisha ya hovyo sn, taifa haliwezi kutengenezwa na watu wavivu na wazembe kama hawa, no wonder mpk leo wanasumbiliwa na njaa.
Kila mmoja anataka kukaa Nairobi.

Imejaaaa kila chocho.

Wanajenga mpaka flyovers za kulipia lakini na zenyewe zinajaa Jam.

TZ tulishtuka mapema sana.

Mambo ya serikali ni Dodoma.

Biashara popote.

Uhamiaji wa mijini umepungua.

WaTZ wanaishi kila sehemu.
 
Back
Top Bottom