Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si umeona.? Hauna masoko budaa nilikwambia, umeanza kuleta picha za google. 🤣🤣🤣 ndio kwanza uko number 7.
8. Kangundo Road Wakulima Market.

IMG_1501.png
 
...starting soon under housing finance. Housing finance ni mali ya mtu binafsi?

Wewe watchman badala ya kutuletea angalau project moja kama hiyo kutoka Mwanza au Arusha uko hapa kutafuta vijimaneno vya kujiliwaza.

At the end of he day, those houses are built by Kenyans for Kenyans wakati nyinyi miji zenu mwendo ni uswazi kushoto kulia. You are so desperate
 
Markets in Dar hata haiezifikia za Nairobi, let alone entire Keny.
Heb post picha tuone 🤣🤣🤣. Dar has the greatest, modern and most beautful markets than anywhere in kunyarenda. Mingi kati ya markets za Dar ni incomparable, you can’t compare takatakas that you have to Dar es Salaam larger markets..
 
Sijawahi kuona nchi ina watu wajinga serikalini kama Tanzania. Hii kesi itaenda mbali na kuiletea Tanzania matatizo kwasababu ya hatua za kipuzi. Ilkua ngumu aje kuwarusha kwenye ndege na kuwarudisha nyumbani
Kwani usafiri ni ndege tu? Tuliwapakiza kwenye boda boda cz ndiyo hadhi yenu hiyo, hakuna kurudishwa na ndege.
 
...starting soon under housing finance. Housing finance ni mali ya mtu binafsi?

Wewe watchman badala ya kutuletea angalau project moja kama hiyo kutoka Mwanza au Arusha uko hapa kutafuta vijimaneno vya kujiliwaza.

At the end of he day, those houses are built by Kenyans for Kenyans wakati nyinyi miji zenu mwendo ni uswazi kushoto kulia. You are so desperate

View: https://youtu.be/0jopGriYPaQ?si=TYvZsDQk6lgHHavm
 
Life is cool, maaaaan... Tanganyikans don't need affordable housing — we can just build our own uswazi slums. But not with mabati , we don't need a thief to steal what we've fought so hard for.
It's called reverse psychology. Acting ok while deep inside it's paining you to the core. Continue building your uswazi slums aka dreamhouses sisi tujenge affordable houses zetu in peace. We don't even understand why it's paining you the point of saying tunaibiwa. So what? pesa ni zenu?

At the end of the day, when data on HDI comes out, you'll come here ranting how we cook our data forgetting that majority of your citizens live in deplorable conditions as we've seen in the uwazis of Dar while we keep providing affordable, decent houses to our people.
 
I asked you to show us anything close to affordable housing projects in Kisumu that you are busy discrediting and belittling here and you end up giving me a video of a market under construction! Hapo ndio sasa kutafuta pa kutorokea?
We are not fans of such mind of houses.

But, to those who need can get from NHC projects and Watumishi housing


View: https://youtu.be/OZa9NZGAn1A?si=I2mG0AzmAC3u_X66
 
Back
Top Bottom