babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
So hao WB, IMF na Japan siku hizi locals? Ama what does local mean?china, world bank, IMF na japan ni deni ya wakenya au sio 😂😂😂😂😂
Upende usipende just know that more than 60% of Kenyan debts ni za wakenya, huko bongolala 90% of your debts ni za foreigners.Wakenya wenyewe wanaweka simu kama bond au wakenya wapi? 😂😂 Wakenya ndio wanawapaga pesa za kulipa mishahara?
Shida huyo jamaa pia amekuwa akitukana sana Rais wa Kenya na serikali yake kwenye mitandao ya Kijamii, sijui Kasongo kama atajigusa kumsaidia, kwa kifupi ameyakanyaga.
Natamani tu wamwonee huruma, especially yule dada wa Uganda.. sema wasijeleta pua zao huku Tena.Huwenda watamuonea huruma kaka😂😂😂😂.
Mtoto akinyea kiganja hukikati bali wakikosha.
Nakumbuka. 😂😂😂Natamani tu wamwonee huruma, especially yule dada wa Uganda.. sema wasijeleta pua zao huku Tena.
By the way wakunya huwa wepesi sana kusahau,
Kuna media Moja kubwa zaidi huko Kenya (Citizen) walijichanganya kwa chuma JPM na walilazimishwa kuomba msamaha kwa JPM wiki nzima non stop, yaani wanaomba msamaha Kila siku mfulilizo kwa siku Saba na walifanya hivyo.
Afodebo hauzing pale mukuru kwa njenga 😂😂😂
Bomu la machozi!!! Ushapata yako 😂😂🤣
View: https://youtu.be/LoflAgPXRbw?si=wdpejGq90ilHNot0
View: https://x.com/DalmasMaroa/status/1925072219027181669?t=kSU8K2RkGmS6_rqRxrcZRA&s=19 wakenya wanaojielewa wanampa makavu hanifa
Maumivu sivyo? 😂Chumba kimoja
Kwahiyo CCM sio watanzania ni waarabu au sio? Unaposema tangia mababu, je how many tribes are there in Kenya, and why only Kikuyu and Kalenjin have rights to rule you since Uhuru?Ni wakenya sio CCM., same mindset tangia mababu.,