Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wengi ni mizembe vimekaa vijiweni havina lolote, wengine vijakazi kwa wahindi, waarabu na biashara za Kikenya, watumwa wetu hawa, vyuma vimekaza, akili imedua, kufikiria mtu hana uwezo, unatarajia nini kutoka kwenu🤣🤣🤣🤣.,
Ila wamewadouble mobile money in circulation 😂😂
Screenshot_20250407-171446.jpg
 
Serikali yao wenyewe wanaujua moto wa Tanzania si unaona msemaji wao kasema serikali yao aihusiki kwa hao wanaharakati na wameunga mkono uamuzi wa Tanzania kuwafukuza, wangejaribu kutoa statement yoyote official ya kipumbavu tuwafungulie turbo
Tungewachomea vifaranga na kuwakamatia ng'ombe wao😂😂😂 kama kipindi cha Magufuli.
 
Ruto kaona akwepe ghadhabu ya Tanzania kwa kuwakana wahuni wenzie 😂😂😂


View: https://x.com/bbcswahili/status/1924789743784517984?s=19

Ata Kiswahili yenyewe hauelewi, liboya hili🤣🤣🤣., serikali ya Ruto haitaki kulaumiwa na wakenya eti wao ndio wali engineer or waliamurisha serikali ya Tanzania kuzuiya activists, ni Tanzania yenyewe., wanaosha mikono, yaani lawana imebakia kwenu.., wewe unasoma fikra zako into an obvious statement., twisted brain, unalazimisha fikra zako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., Mtanzania wa kawaida ni bure kabisa kimasomo🤣🤣🤣🤣
 
Unatarijia nini from full mikwara, mpo mpo tu kishamba, kinachoendelea wengi hawajui, sio kwa kutaka au kupenda, akili zilidua, bora akule anye alale mpo tu kizombie, zezetas wamezubaa, akili zao zimebebwa ufala na CCM,..,
what about being ruled by same incompetent gikuyu and Kalenjini for eternity, two tribes forever? Are you also coming from the two tribes? how do you find it ?
 
Ata Kiswahili yenyewe hauelewi, liboya hili🤣🤣🤣., serikali ya Ruto haitaki kulaumiwa na wakenya eti wao ndio wali engineer or waliamurisha serikali ya Tanzania kuzuiya activists, ni Tanzania yenyewe., wanaosha mikono, yaani lawana imebakia kwenu.., wewe unasoma fikra zako into an obvious statement., twisted brain, unalazimisha fikra zako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣., Mtanzania wa kawaida ni bure kabisa kimasomo🤣🤣🤣🤣
Sasa wasilaumiwe na wakenya kwani wao ndio waliwadeport? Kasongo na serikali yake yote ina mamlaka gani Tanzania kuamua nani aingie nani asiingie Tanzania mpaka ijisafishe kwamba haihusiki na deportation?
 
Kitendo alichofanya Mama Samia kuwakamata hawa nyang'au na kuwarejesha walikotokea kimedhihirisha ukuu wa Tanzania kwa hawa manyang'au.
Vipi wale watu wao wawili wanaodai hawajaachiwa imekuaje?
So arresting someone in your own country now proves you are a great country? Lol, A poor man will brag about anything.
 
So arresting someone in your own country now proves you are a great country? Lol, A poor man will brag about anything.
Unaropoka kama kawaida yako!
Hao waliokamatwa ni activist wenu,activist sio mtu wa kawaida kama wengine ni mtu ana image kwa kiwango fulani katika jamii.
We unaona ni jambo la kawaida sana kumkamata activist!?
Embu uliza Afghanistan ililipukaje Malala Yousaf Zai alipokamatwa na serikali mahasimu.
 
Sasa wasilaumiwe na wakenya kwani wao ndio waliwadeport? Kasongo na serikali yake yote ina mamlaka gani Tanzania kuamua nani aingie nani asiingie Tanzania mpaka ijisafishe kwamba haihusiki na deportation?
I repeat, an average Tanzanian is a dimwit🤣., countries can deny people entry because of how they relate with each other, mfano, if country A has good and cordial relationship with country B, and country B has an enemy or a person considered as a renegade, who wants to visit country A, the president of country B can confidentialy call his/her counterpart in A to warn him/her of the "enemy", who is then denied entry, or is deported, just to maintain the cordial relationship, and political friendship, your enemy is my enemy policy. Yaani ata hizi siasa hauwelewi na zimefanyika sana.., jinga type 🤣🤣🤣., so Kenya is saying it didn't participate or have any undue influence on Tanzania's actions.
 
Unaropoka kama kawaida yako!
Hao waliokamatwa ni activist wenu,activist sio mtu wa kawaida kama wengine ni mtu ana image kwa kiwango fulani katika jamii.
We unaona ni jambo la kawaida sana kumkamata activist!?
Embu uliza Afghanistan ililipukaje Malala Yousaf Zai alipokamatwa na serikali mahasimu.
Those activists are anti-government people.
Hao waliokamatwa wote wanampinga rais. In fact CS wa Foreign affairs amesupport Samia kwa kuwakamata. Hao ni watu ambao wakiondolewa halitomsumbua Rais. Ni kama huyo Tundu Lissu akamatwa nchi ya ugenini - unadhani Samia atakasirishwa na hilo? Usiwe mjinga.
 
Back
Top Bottom