Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Hajarudishwa, mkewe analia uko kunyarenda, kijamaa hakijulikani kilipo. 🤣🤣👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DJ6g9QWts_5/?igsh=MXUxM2VmNjBuNXZldw==. Hii ikawe fundisho kwa wajinga wenzao.
Lakini unaunga mkono wao kuingilia mambo yetu.?Hebu wamwachie! Siungi mkono huu ukandamizaji!
Lissu anaenda kunyongwa unadai mambo yenu? Wacha upuuzi!Lakini unaunga mkono wao kuingilia mambo yetu.?
Anyways, binafsi ningetamani akae rumande walau kwa miezi minne flani hivi. 😆 ale maharage mabovu buana ili akitoka akawadithie wenzie..
Kuhusu activist haijalishi kama anti-government ama laah.Those activists are anti-government people.
Hao waliokamatwa wote wanampinga rais. In fact CS wa Foreign affairs amesupport Samia kwa kuwakamata. Hao ni watu ambao wakiondolewa halitomsumbua Rais. Ni kama huyo Tundu Lissu akamatwa nchi ya ugenini - unadhani Samia atakasirishwa na hilo? Usiwe mjinga.
Nitafurahi sana akinyongwa, that is what he deserves. Mimi ni mzalendo wa hili taifa, yeyote anaetaka kulivuruga hili taifa mimi huwa namuhesabu kama adui yangu..Lissu anaenda kunyongwa unadai mambo yenu? Wacha upuuzi!
Mbona jibu liko hapo unajifanya hujaliona?
View: https://twitter.com/LoeXIV/status/1924824271055938035
View: https://twitter.com/JerehelCHIDO/status/1925054873227169866
Angerudishwa kwao ungeshamuona kule x anajitapaasharudishwa mbona?
Unaongelea nani? Tuelezee uhalisia ni upi according to you?Mie mwenyewe mfanyabiashara ila anachoongea huyo ni nje ya uhalisia.
Asijikute anajua yeye tu,tupo tunaojua zaidi kuliko yeye.
Apelekwe Gereza la Rukwa akalime mashamba ya mahindi hiyo miezi minne. Na nasikia anafunguliwa kesi ya kupanga njama ya kuangusha Serikali ya Tanzania. Hivi kesi hii adhabu yake ni nini?Lakini unaunga mkono wao kuingilia mambo yetu.?
Anyways, binafsi ningetamani akae rumande walau kwa miezi minne flani hivi. 😆 ale maharage mabovu buana ili akitoka akawadithie wenzie..
Na atanyongwa kweli ili iwe fundisho kwa watu wengine.Lissu anaenda kunyongwa unadai mambo yenu? Wacha upuuzi!
Hiyo ndo Dodoma inner ring road. Ambayo hawaamini kama iko Dodoma
Siku akinyongwa Lissu nitachinja joo nile kwa furaha.Nitafurahi sana akinyongwa, that is what he deserves. Mimi ni mzalendo wa hili taifa, yeyote anaetaka kulivuruga hili taifa mimi huwa namuhesabu kama adui yangu..
Hajarudishwa, mkewe analia uko kunyarenda, kijamaa hakijulikani kilipo. 🤣🤣👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DJ6g9QWts_5/?igsh=MXUxM2VmNjBuNXZldw==. Hii ikawe fundisho kwa wajinga wenzao.
Haha njooni mumchukue basi hatoki , mpaka ruto aombe msamaha ,🤣🤣🤣🤣🤣Kwani ni wewe umewashika? 🤣 🤣 🤣 Punguza kuropokwa, wewe huna jina wala cheo yeyote la maana huko bongoslum.