Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya ni sawa na vichaa,uhuru kwao eti ni kutukana hovyo watakavyo kwa mtu yeyote.
Uhuru ni kusimama kwa hoja na kupiga kelele kwa hoja sio matusi.
Hakuna kigezo chema kutoka kwao ni vichaa tu hawa.
Yaani wao kumpiga Rais na kiatu, kuvamia bunge, kupiga magari mawe na kuchoma mali, kutukana viongozi mitandaoni ndio political advancement yao 😂😂😂 ila bado ufisadi unaendelea, hawana ajira, uchumi upo mortuary, njaa kila mahali, nchi inaendeshwa kwa madeni na misaada yote hayo kwa fresh ila angalau tulimpiga Ruto na kiatu usoni ko tumemuweza we're good, we're unbeatable, sisi ni vichwa ngumu 😂😂😂😂
 
Ninyi watu mna idle time kweli, kuna watu wengi Tanzania hata hawajui chochote kuhusu hili saga lakini Kunyaland mpaka mama mboga anajua tarehe ngapi lisu ana next hearing
 
Ili tuwaogope bhas mwambieni waziri wa mambo ya nje au balozini wenu hapa Bongo atoe statement yoyote tu official kwamba hajapendezwa na hatua ambazo askari wa Uhamiaji wamefanya dhidi ya raia wenu wajinga.

Kwa hapa itabidi tufunge uwanja kwa muda tufanye fumigation...hao kenge watakuwa wamekuja na funza na kunguni za kibera..
Serikali yao wenyewe wanaujua moto wa Tanzania si unaona msemaji wao kasema serikali yao aihusiki kwa hao wanaharakati na wameunga mkono uamuzi wa Tanzania kuwafukuza, wangejaribu kutoa statement yoyote official ya kipumbavu tuwafungulie turbo
 
Samia is way much older than Martha Karua ila the later looks older and ugly due to lishe mbovu tangu utotoni.
😂😂😂

FbMNJu9aMAAdQbp.jpeg
 
Ninyi watu mna idle time kweli, kuna watu wengi Tanzania hata hawajui chochote kuhusu hili saga lakini Kunyaland mpaka mama mboga anajua tarehe ngapi lisu ana next hearing

Unatarijia nini from full mikwara, mpo mpo tu kishamba, kinachoendelea wengi hawajui, sio kwa kutaka au kupenda, akili zilidua, bora akule anye alale mpo tu kizombie, zezetas wamezubaa, akili zao zimebebwa ufala na CCM,..,
 
Unatarijia nini from full mikwara, mpo mpo tu kishamba, kinachoendelea wengi hawajui, sio kwa kutaka au kupenda, akili zilidua, bora akule anye alale mpo tu kizombie, zezetas wamezubaa, akili zao zimebebwa ufala na CCM,..,
😂😂 Watanzania wana mambo mengi ya maana ya kushuhulikia hawapo idle ndio maana ni ngumu kumshawishi mtanzania kuandamana, huo muda hana ila huko ushenzini ambapo kuna 70 percent ya unemployment mna muda
 
😂😂 Watanzania wana mambo mengi ya maana ya kushuhulikia hawapo idle ndio maana ni ngumu kumshawishi mtanzania kuandamana, huo muda hana ila huko ushenzini ambapo kuna 70 percent ya unemployment mna muda
Declare FATWAAA on me.,
 
😂😂 Watanzania wana mambo mengi ya maana ya kushuhulikia hawapo idle ndio maana ni ngumu kumshawishi mtanzania kuandamana, huo muda hana ila huko ushenzini ambapo kuna 70 percent ya unemployment mna muda
Wengi ni mizembe vimekaa vijiweni havina lolote, wengine vijakazi kwa wahindi, waarabu na biashara za Kikenya, watumwa wetu hawa, vyuma vimekaza, akili imedua, kufikiria mtu hana uwezo, unatarajia nini kutoka kwenu🤣🤣🤣🤣.,
 
Back
Top Bottom