IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Yaani wao kumpiga Rais na kiatu, kuvamia bunge, kupiga magari mawe na kuchoma mali, kutukana viongozi mitandaoni ndio political advancement yao 😂😂😂 ila bado ufisadi unaendelea, hawana ajira, uchumi upo mortuary, njaa kila mahali, nchi inaendeshwa kwa madeni na misaada yote hayo kwa fresh ila angalau tulimpiga Ruto na kiatu usoni ko tumemuweza we're good, we're unbeatable, sisi ni vichwa ngumu 😂😂😂😂Kenya ni sawa na vichaa,uhuru kwao eti ni kutukana hovyo watakavyo kwa mtu yeyote.
Uhuru ni kusimama kwa hoja na kupiga kelele kwa hoja sio matusi.
Hakuna kigezo chema kutoka kwao ni vichaa tu hawa.
Hii ndo unataka tuite EPZ sio?
View: https://www.youtube.com/watch?v=C2yHuYn4Jjc&ab_channel=SafariWithDanny
Hivyo ndivyo wanavyodanganyana toka kipindi cha Magu 😂😂 wanafake tweet kama ivo na kuzisambaza na wote wanaziamini nchi nzima ndio ujue hawa watu walivyo wapumbavuHakuna sehemu Rais amesema hivi, epuka fake news za kutafutia engagement kwenye mitandao ya kijamii.
Ninyi watu mna idle time kweli, kuna watu wengi Tanzania hata hawajui chochote kuhusu hili saga lakini Kunyaland mpaka mama mboga anajua tarehe ngapi lisu ana next hearingView attachment 3340407
View attachment 3340408
View attachment 3340409
View attachment 3340410
Hadi mkenya mwansiasa mang'aa anamtetea baada ya KoT kusalimia mama,🤣🤣🤣🤣
View attachment 3340411
View attachment 3340415
View attachment 3340416
View attachment 3340417
View attachment 3340418
View attachment 3340419
View attachment 3340424
View attachment 3340423
View attachment 3340417
FATWAAAAAA!!!!!!!.,
Bloggers wao wanajua kwenda na trends wanajua wakundustan wanapenda vitu vya kipumbavu na ndio wanavyowapa, mbaya ni kwamba wakundustan wanafikiri upande wa pili wanawapa attention yoyote. Ko hapo watabweka wee wanafikiri the impact is felt kumbe wanapigana na vivuli vyao wenyewe.Attention Seekers
Serikali yao wenyewe wanaujua moto wa Tanzania si unaona msemaji wao kasema serikali yao aihusiki kwa hao wanaharakati na wameunga mkono uamuzi wa Tanzania kuwafukuza, wangejaribu kutoa statement yoyote official ya kipumbavu tuwafungulie turboIli tuwaogope bhas mwambieni waziri wa mambo ya nje au balozini wenu hapa Bongo atoe statement yoyote tu official kwamba hajapendezwa na hatua ambazo askari wa Uhamiaji wamefanya dhidi ya raia wenu wajinga.
Kwa hapa itabidi tufunge uwanja kwa muda tufanye fumigation...hao kenge watakuwa wamekuja na funza na kunguni za kibera..
The topic is not popular here, watanzania wapo busy na kazi na burudani.unao waita mang'aa wanamponda Mama yenu seriously na hakuna kitu mnafanya..mumezubaa tu 😁 😁 . why can't you people retaliate if you have the balls to do so?
😂😂😂Samia is way much older than Martha Karua ila the later looks older and ugly due to lishe mbovu tangu utotoni.
Hii inakusaidia nn? Aisee… no comment!
Ninyi watu mna idle time kweli, kuna watu wengi Tanzania hata hawajui chochote kuhusu hili saga lakini Kunyaland mpaka mama mboga anajua tarehe ngapi lisu ana next hearing
FATWA!!Wakundustan hivi hivi ndio mlidanganywa Magufuli yupo naislum hospital 😂😂
😂😂 Watanzania wana mambo mengi ya maana ya kushuhulikia hawapo idle ndio maana ni ngumu kumshawishi mtanzania kuandamana, huo muda hana ila huko ushenzini ambapo kuna 70 percent ya unemployment mna mudaUnatarijia nini from full mikwara, mpo mpo tu kishamba, kinachoendelea wengi hawajui, sio kwa kutaka au kupenda, akili zilidua, bora akule anye alale mpo tu kizombie, zezetas wamezubaa, akili zao zimebebwa ufala na CCM,..,
Declare FATWAAA on me.,😂😂 Watanzania wana mambo mengi ya maana ya kushuhulikia hawapo idle ndio maana ni ngumu kumshawishi mtanzania kuandamana, huo muda hana ila huko ushenzini ambapo kuna 70 percent ya unemployment mna muda
Hawa Kenge badala ya kuwadetain ni kuwaunganisha kwa kesi wafeel joto.
Wajinga sana. Kwanini wasikomae na Gachagua anayeeneza ukabila, Turkana kukosa haki ya mahitaji ya binadamu mathalani chakula.
Miradi kupigwa na kupotea.
Wengi ni mizembe vimekaa vijiweni havina lolote, wengine vijakazi kwa wahindi, waarabu na biashara za Kikenya, watumwa wetu hawa, vyuma vimekaza, akili imedua, kufikiria mtu hana uwezo, unatarajia nini kutoka kwenu🤣🤣🤣🤣.,😂😂 Watanzania wana mambo mengi ya maana ya kushuhulikia hawapo idle ndio maana ni ngumu kumshawishi mtanzania kuandamana, huo muda hana ila huko ushenzini ambapo kuna 70 percent ya unemployment mna muda