concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Wana vita za x kwa ground wako zero however wanashindwa kulinda mipaka yaoUganda wako strong kuliko nyie mang'aa... Receipt Iko Migingo pale .
Wana vita za x kwa ground wako zero however wanashindwa kulinda mipaka yaoUganda wako strong kuliko nyie mang'aa... Receipt Iko Migingo pale .
unao waita mang'aa wanamponda Mama yenu seriously na hakuna kitu mnafanya..mumezubaa tu 😁 😁 . why can't you people retaliate if you have the balls to do so?Uganda wako strong kuliko nyie mang'aa... Receipt Iko Migingo pale .
Umekula leo?unao waita mang'aa wanamponda Mama yenu seriously na hakuna kitu mnafanya..mumezubaa tu 😁 😁 . why can't you people retaliate if you have the balls to do so?
Wako nje ya Tanzania wangekuwa ndani ya mipaka ya Tanzania ungeona moto wake , mnataka tuje kuwabebea kwenu mseme tumewaingilia😝😝😝😝.unao waita mang'aa wanamponda Mama yenu seriously na hakuna kitu mnafanya..mumezubaa tu 😁 😁 . why can't you people retaliate if you have the balls to do so?
Amri imeshatolewa. Utasikia tu sauti gizani.Wako nje ya Tanzania wangekuwa ndani ya mipaka ya Tanzania ungeona moto wake , mnataka tuje kuwabebea kwenu mseme tumewaingilia😝😝😝😝.
Huo uwezo upo ila tunaheshimu mipaka na kama mnabisha subirini , sisi Huwa ni kimya kimya tu
Kwanza unatakiwa ujue kwamba security organ za tZ hazina njaa kama zenu. Mfano usalama wa taifa ngazi ya bachelor sharti uwe na gari na mafuta lazima yawe full tenk muda wote , hutakiwi kulia njaa ndo maana huwez sikia majambazi Tanzania kwa miaka hii sasa unahisi tunashindwa kuja kumbeba mmoja wenu huko na kumzimisha kwenye kiroba🤣🤣😝unao waita mang'aa wanamponda Mama yenu seriously na hakuna kitu mnafanya..mumezubaa tu 😁 😁 . why can't you people retaliate if you have the balls to do so?
unao waita mang'aa wanamponda Mama yenu seriously na hakuna kitu mnafanya..mumezubaa tu 😁 😁 . why can't you people retaliate if you have the balls to do so?
Hawa wanaendekezwa tu, wanatakiwa wakutane na fanya fujo uone wakiwa washavuta zao sigara Kali Tena waliotoka depo, ili wawafanyie mazoeziHahaha poor souls..
Yani kwa ku post huko mtandaoni ndio tayari mmesumbua nchi!
Hebu Leo muanze ku post Uganda waondoke Migingo halafu tuone kama watatoka kwa post zenu hizo.
Washasahau miezii kadhaa tuu hapa kuna viongozi wa Tanzania walizuiliwa Angola mpaka raisi akaamua ahende kabla ya hapo, tulituma majeshi yetu drc ili kuenda kusaidia kutatuta mgogoro waoWamezoea propaganda tu humu
Hahaha ila kupata wakina JPM na Traore Africa ni ngumu bado
View: https://youtu.be/Ocp3hxRa7B8?si=rA-I1RG65k1S96bU
Hahaha ila kupata wakina JPM na Traore Africa ni ngumu bado
View: https://youtu.be/Ocp3hxRa7B8?si=rA-I1RG65k1S96bU
lakini mama aliguza waya.. Hii knock out haina come back. 😁 😁 😁 😁
View: https://x.com/AokoOtieno_/status/1924254986025738740
Wazungu hawatukani viongozi wao Wala kuvamia bunge na kuiba ubwabwa, na hutaona live bullets kwa raia kwenye nchi civilized, Kenya kipindi Cha maandamano ya gen z pekee death toll ilifika almost 200 , gen z walilimwa live bullets na police kama vile wanapiga Al shabaab au majambazi sugu,Wanadhani kutukana viongozi ndiyo Uhuru, yn wao kila kitu wanachofanya wazungu ndiyo demokrasia, hawatokuja kuendelea hata siku moja. Tutawaacha hapa hapa na ujinga wao.
Kwamba wewe hapo Tandale huna habari X account ya Police force yenu ilikuwa hacked? And do you know the culprits?Leta video ya maelekezo 😝😝😝😝