Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lazima ujue kuna tofauti kati ya upinzani na uanaharakati. Ninanachokataa ni uanaharakati.😁
Sawa sawa, watu wengi wanashindwa kutofauyisha hilo. Wengi wetu CCM inatuangusha sana, ila sasa hao wanopingana na CCM mpaka sasa hatujaona mikakati yao yoyote ya Maana. Iwe ya muda mfupi au mrefu.
Tanzania sio nchi ya kuleta mabadiliko kwa mabavu, watu washawaonesha kwamba hawataki fujo!!
Baada ya kuandaa mikakati ya muda mrefu, kujenga mapato ili hata ikija muda wakinyinwa ruzuku bado wataendelea(kwa mfano tu) ila hakuna kitu. Wao ni kukashifu na kupinga tu kila kitu. Hata mema kwao kwa sababu CCM kafanya basi halifai.

Wanaendekeza harakati baada ya kufanya siasa haswa!! Hakuna linaloshindikana, na CCM kutolewa madarakani inawezekana sema wameamua kuto fanya Mambo sahihi.
 
🤣 🤣 🤣

Image
 
🤣🤣🤣 imagine gorofa mbili tatu ku cover 1/4 of kibera. 🤣🤣🤣 ni lini utaacha uongo wa kipumbavu na kuanza kuwa realistic.?
Enyewe wewe ni fala walai.., umeona ghorofa mbili tatu eti?., kisha ni urefu upi na nyumba(units) ni ngapi kwa hizo apartments?.., ebu hesabu mabanda elfu moja kwa ground uniambie ina cover area kiwango gani pale Kibera.., mtanyooka mpende msipende., hehehe
 
Enyewe wewe ni fala walai.., umeona ghorofa mbili tatu eti?., kisha ni urefu upi na nyumba(units) ni ngapi kwa hizo apartments?.., ebu hesabu mabanda elfu moja kwa ground uniambie ina cover area kiwango gani pale Kibera.., mtanyooka mpende msipende., hehehe
Sasa hapa nani anakua fala mimi au wewe .? Mana unatuelezea vitu ambavyo havipo unafosi issues. 🤣🤣🤣 utaacha lini huu upumbavu.?
 
Wanaita nyumba. Ina chumba kimoja na choo. Kweli majirani kichwani hamna kitu
Sasa wewe ndio uko na kinyesi kwa ubongo walai hehehe, ungefanya uchunguzi kabla ya kukurupuka hehehe., Kuna bedsitter, yenye unaita chumba kimoja na choo, pale kuna one bedroomed house, na pia two bedroomed house., tembelea website ujielimishe, Kenya sio Tanzania.,
 
Sasa wewe ndio uko na kinyesi kwa ubongo walai hehehe, ungefanya uchunguzi kabla ya kukurupuka hehehe., Kuna bedsitter, yenye unaita chumba kimoja na choo, pale kuna one bedroomed house, na pia two bedroomed house., tembelea website ujielimishe, Kenya sio Tanzania.,
Mnauziwa nyumba kwa miaka 30, ambazo zimejengwa kwa pesa zenu wenyewe?

Tena nyumba zenyewe bedsitters.

Dah
 
Sasa hapa nani anakua fala mimi au wewe .? Mana unatuelezea vitu ambavyo havipo unafosi issues. 🤣🤣🤣 utaacha lini huu upumbavu.?
Lipumbavu lizembe, kushirikisha ubongo huwezi, nimekupa practical steps unakwepa, hesabu mabanda elfu moja kwa ground uniambie zina cover area kiwango gani, tumia google earth kisha circle approximately 1000 houses in Kibera.., kisha utazame apartments ya nyumba zaidi ya elfu moja uone inajengwa kwenye area ya size ipi, kisha linganisha na hiyo area yenye banda elfu moja zimetapakaa, uje na majibu.. kazi rahisi tu..,
 
Mnauziwa nyumba kwa miaka 30, ambazo zimejengwa kwa pesa zenu wenyewe?

Tena nyumba zenyewe bedsitters.

Dah
umeona zote ni bedsitters? hehehehe. vilaza hawataisha Tanzania tokea mababu, sasa hivi na vizazi vingi mbele, hehehehe., jielimishe kuhusu hiyo project..,

 
Lipumbavu lizembe, kushirikisha ubongo huwezi, nimekupa practical steps unakwepa, hesabu mabanda elfu moja kwa ground uniambie zina cover area kiwango gani, tumia google earth kisha circle approximately 1000 houses in Kibera.., kisha utazame apartments ya nyumba zaidi ya elfu moja uone inajengwa kwenye area ya size ipi, kisha linganisha na hiyo area yenye banda elfu moja zimetapakaa, uje na majibu.. kazi rahisi tu..,
Sasa mabanda za kibera ni elfu moja.? Mbona wewe huwa ni jitu zima lakini jipumbavu.? 🤣🤣🤣 au unakazania uongo unadhani mimi fala kama wewe.?
 
Mtanyooka, hiyo Kibera inafanana hivi 2025;

View: https://youtu.be/FBLQxg4rdOQ?si=RvbJfhin-0-G5Z5z

Na bado Kibera inajengwa usiku na mchana; mtakosa ya kupost kuhusu Kenya, kwenu hamna mengi ya kuonyesha..,
Unajua hii phase one pekee itaondoa kiasi kigani ya nyumba za kibera? It's vertical buildings and one block has many houses!.., kama nyumba moja moja zingekua kwa ground ni upana upi zingekua zime cover?.., think! 🤣🤣🤣🤣
View attachment 3340129
View attachment 3340122
View attachment 3340123
View attachment 3340124
View attachment 3340121
View attachment 3340125
View attachment 3340128
View attachment 3340126

Shirikisha ubongo kilaza 🤣


nina swali sijaelewa, hizo nyumba mpya za kibera nani ataishi humo, wakazi wa kibera watahamia humo, au?
 
Sasa mabanda za kibera ni elfu moja.? Mbona wewe huwa ni jitu zima lakini jipumbavu.? 🤣🤣🤣 au unakazania uongo unadhani mimi fala kama wewe.?
Mpumbavu ni mpumbavu tu, hii itakua ujinga ya ukoo wenu walai hehehe., just count elfu moja pekee, sijakuambia uhesabu Kibera yoote, na sijasema Kibera iko na nyumba elfu moja, kusoma haujui,mbwa koko wewe hehehe., linakwepa hehee, wewe ni baboon kweli nimekubali leo hehehehehe,
 
nina swali sijaelewa, hizo nyumba mpya za kibera nani ataishi humo, wakazi wa kibera watahamia humo, au?
Exactly, wale wale walio hamishwa ndio zijengwe wanarudishwa zikiisha, na wengine zaidi kisha wanabomoa kwingine wakijenga., wajakazi wa mkono ni hao hao wenyewe..., kuna clip nikipata I will post here, wanajieleza na vile wamejipanga..,
 
Mpumbavu ni mpumbavu tu, hii itakua ujinga ya ukoo wenu walai hehehe., just count elfu moja pekee, sijakuambia uhesabu Kibera yoote, na sijasema Kibera iko na nyumba elfu moja, kusoma haujui,mbwa koko wewe hehehe., linakwepa hehee, wewe ni baboon kweli nimekubali leo hehehehehe,
Wewe ni mtu mzima halafu huna akili.. vipi hapo mombasa kwa machoko hawajambo.? 🤣🤣🤣
 
Exactly, wale wale walio hamishwa ndio zijengwe wanarudishwa zikiisha, na wengine zaidi kisha wanabomoa kwingine wakijenga., wajakazi wa mkono ni hao hao wenyewe..., kuna clip nikipata I will post here, wanajieleza na vile wamejipanga..,

ok, kama ikifanikiwa watastahili nobel prize kwa kweli kwa maana nafikiri watu wengi wanaishi slums kwa sababu hawawezi afford decent housing, sasa hao watakao hamia kwenye hizo appartments kutokea kibera nani atalipia water, umeme, kodi ya nyumba, maintanance fee ya apartments? kwani kwangu mimi hizo apartments zingewafaa middle and upper classes wenye kazi nzuri lkn wengi wakazi wa kibera na slums nyingine ni day weka au kibarua siku akiumwa hakuna kazi wanaweza afford hizo nyumba?
 
Back
Top Bottom