Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Unafikiria ni mafukara hohe hahe on average? poleni, mtapata nafuu na nyinyi pia siku mojaok, kama ikifanikiwa watastahili nobel prize kwa kweli kwa maana nafikiri watu wengi wanaishi slums kwa sababu hawawezi afford decent housing, sasa hao watakao hamia kwenye hizo appartments kutokea kibera nani atalipia water, umeme, kodi ya nyumba, maintanance fee ya apartments? kwani kwangu mimi hizo apartments zingewafaa middle and upper classes wenye kazi nzuri lkn wengi wakazi wa kibera na slums nyingine ni day weka au kibarua siku akiumwa hakuna kazi wanaweza afford hizo nyumba?