Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Ati.? 🤣🤣🤣 mitaa za kawaida, Dom inapiga hiyo mombasa village mchana kweupe.. mbona unakimbia battle.? 🤣🤣🤣Better or vast?., tunazungumzia normal standard neighborhood, mitaa za raiya wa kawaida sana, sio uswazi ama high end., mko hovyoooo!!., Bamburi ni mini city.., iko na supermarkets, clubs, and various shopping centers , sio hiyo Kijiji unajaribu kujimwambafy nayo, nyumba design za kizamani!!!.., 🤣🤣🤣🤣., maskini dogo unatia huruma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, ukubwa wa Bamburi ni zaidi ya Dodoma CBD!., unabisha???., 🤣🤣🤣🤣.,