Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi ndio nyumba quality. 🤣🤣
Hii ushamba ndio mumeambiwa na Hanspaul muwache.
View attachment 3326972
Haha ebu tulinganishe na hizi zenu ambazo mmekosa mpaka hela ya tofari
images (7).jpeg
download.jpeg
images (6).jpeg
images (5).jpeg
 

Attachments

  • DSC_5221-640x427.jpg
    DSC_5221-640x427.jpg
    113.3 KB · Views: 17
Ndio lakini alikuwa mwaka mmoja mbele yangu pamoja na akina Palamagamba na Mwakyembe😎
First of all, if you are old enough to have been in school with Makau Mutua and you are still here behaving like a 16 year old then you need to get a life.
Secondly, you don't come across as an educated fellow to be honest.
 
Na unemployment rate yenu ni 10 times ya Tanzania, pesa ya Kenya inatumika wapi Tanzania? Wapi utaenda ipokelewe?
Kenya hatuhesabu informal employment kama employment, hio ni yenu nyinyi wa informal economy. The fact that we have a bigger tax base confirms nchi gani ikona watu wengi kwa formal employment.
 
Only in bongoslum, Nyumba ina master bedroom lakini choo iko nje. 🤣🤣 Hii ushamba ndio mumeambiwa muwache.


View: https://x.com/secure_estates/status/1842290127080481061?t=hHX_8eJrb5cSj7rvW7zVtA&s=19

Hamjazoea haya maisha ndo maana mnaambiwa ni maskini .
Faida ya choo cha nje
1) kwa ajili ya wageni hasa mnapokuwa mmepumzika nje
2) kwa emergency ikitokea Kuna hitilafu ndan badala ya kwenda kunya kwenye mifuko kama wakenya
3) kwa ajili ya wageni kama mafundi au watu waziada ambao tusingependa waingie ndani
Sasa kwa sababu ya ushamba wa wakenya mkisikia nyumba ni self contained kwa sababu hayo maisha kwenu ni mageni mnaona ni ajabu sana
 
Kenya hatuhesabu informal employment kama employment, hio ni yenu nyinyi wa informal economy. The fact that we have a bigger tax base confirms nchi gani ikona watu wengi kwa formal employment.
Hamhesabu informal sector??

Wakati infromal sector mnaweka mpaka kwenye GDP yenu ya kitapeli.

mna bigger tax base ila hata kujenga project ndogo mpaka mkope au PPP na mikopo mna default.

Hio tax base kubwa inawasaidia nini
Screenshot_20250507_155007_X.jpg
2025050516053308.jpg
 
Hamjazoea haya maisha ndo maana mnaambiwa ni maskini .
Faida ya choo cha nje
1) kwa ajili ya wageni hasa mnapokuwa mmepumzika nje
2) kwa emergency ikitokea Kuna hitilafu ndan badala ya kwenda kunya kwenye mifuko kama wakenya
3) kwa ajili ya wageni kama mafundi au watu waziada ambao tusingeenda waingie ndani
Sasa kwa sababu ya ushamba wa wakenya mkisikia nyumba ni self contained kwa sababu hayo maisha kwenu ni mageni mnaona ni ajabu sana
Hii ndio ushamba munaambiwa muwache, sio lazima cloakroom ikue nje, lakini sasa ona vile una fikira za kishamba na kimaskini.
 
Back
Top Bottom