Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,054
- 33,291
Archaic living. The world has modernized, nyinyi mko nyuma kama kawaida. Ndio Kwa maana hata hazina tanks za kuflush na bidets, munaingia huko na mandoo, bakuli na vikombe kama mtu ako jikoni.Yeah squat is common in Tanzania not in Dar alone, so what's the problem?
Hii unajifanya hukuona. 🤣🤣 Ndio Kwa maana hukua unataka kushare article. I hope umeona Nairobi flushing toilets are common while in Dar is a slum it's rare.![]()
Eastleigh's sawdust toilets and how they work | The Eastleigh Voice
Sawdust collected from toilets mixed with human waste can be utilized in various ways, primarily in the context of composting toilets.eastleighvoice.co.ke
Haya soma useme sio Kenya basi
Ila jua kabisa nyinyi asubuhi mnabeba mavi kwenda kumwaga
Toilet use
To use the toilet, the vendor provides tissue paper, and sawdust is readily available inside. After use, customers simply sprinkle a cup of sawdust to cover the waste, and the toilet is regularly serviced to ensure proper waste disposal.
Hakuna kuflush choo
Ndio maana hakutaka kuweka entire article, wamezoea latrines so wanataka Kenya pia ikuwe Kama hao😂😂🤣.Archaic living. The world has modernized, nyinyi mko nyuma kama kawaida. Ndio Kwa maana hata hazina tanks za kuflush na bidets, munaingia huko na mandoo, bakuli na vikombe kama mtu ako jikoni.
Hii unajifanya hukuona. 🤣🤣 Ndio Kwa maana hukua unataka kushare article. I hope umeona Nairobi flushing toilets are common while in Dar is a slum it's rare.
View attachment 3321856
Kwahiyo hapo Kuna flush tanks eti ?Archaic living. The world has modernized, nyinyi mko nyuma kama kawaida. Ndio Kwa maana hata hazina tanks za kuflush na bidets, munaingia huko na mandoo, bakuli na vikombe kama mtu ako jikoni.
Hii unajifanya hukuona. 🤣🤣 Ndio Kwa maana hukua unataka kushare article. I hope umeona Nairobi flushing toilets are common while in Dar is a slum it's rare.
View attachment 3321856
Kusingekuwa na hizi toilets Tanzania hakuna kitu kama hikiArchaic living. The world has modernized, nyinyi mko nyuma kama kawaida. Ndio Kwa maana hata hazina tanks za kuflush na bidets, munaingia huko na mandoo, bakuli na vikombe kama mtu ako jikoni.
Hii unajifanya hukuona. 🤣🤣 Ndio Kwa maana hukua unataka kushare article. I hope umeona Nairobi flushing toilets are common while in Dar is a slum it's rare.
View attachment 3321856
Ko what's all about this piece of sheet?Yani unadhani nyumba yenye has all these facilities itakosa a flushing toilet? Kwanza ushaiona hata bathtub?
View attachment 3321834
Ko what's all about this piece of sheet?
Wakundustan bana, ko mkiona dalali kaandika kama ivi kuna jiko na choo cha nje kwenye your dead brains mnafikiri hakuna jiko wala choo ndani.? 😂😂😂 mnafikiria kama makonokono kisa tu Kunyalanders can't manage to build inside and outside washrooms and kitchens mnafikiria ni wote.
View: https://x.com/rickrealestatet/status/1899900167769215324?t=voSJRe01goSxnnNz-9gxfw&s=19
Vyoo vya kukaa ni kwa ajili ya disabled.Imagine unaenda public toilet halafu unakuta vyoo vya kukaa, hapo hapo naghairi. 😂😂😂
Vyoo vya kukaa sio vizuri labda kama una matatizo ya kukaa.
Wanalazimisha tufanane na haiwezekani. 🤣🤣 They have been squatting kama machura in their lifetime.Ndio maana hakutaka kuweka entire article, wamezoea latrines so wanataka Kenya pia ikuwe Kama hao😂😂🤣.
Ko what's all about this piece of sheet?
Wakundustan bana, ko mkiona dalali kaandika kama ivi kuna jiko na choo cha nje kwenye your dead brains mnafikiri hakuna jiko wala choo ndani.? 😂😂😂 mnafikiria kama makonokono kisa tu Kunyalanders can't manage to build inside and outside washrooms and kitchens mnafikiria ni wote.
View: https://x.com/rickrealestatet/status/1899900167769215324?t=voSJRe01goSxnnNz-9gxfw&s=19
Hadi President wao anasquart😂😂🤣😂Wanalazimisha tufanane na haiwezekani. 🤣🤣 They have been squatting kama machura in their lifetime.
Mwaka 2021 nili share toilet yangu humu muulize Tony254 na mnuka mavi wanayo taarifa.Haitaki hasira. 🤣🤣 Naona umeumia vilivyo, hii ni hasira ya kutojua kuflush choo na kutokunya Kwa ustaarabu.
This has clearly confirmed that you are using a pit latrine that is shared by entire neigborhood😂😂🤣Vyoo vya kukaa ni kwa ajili ya disabled.
Wakundustan wangapi hata walishaona kitu kama hiki? Siwezi share a plain surface to put my bare butt skin with strangers ndio maana wengi wenu wagonjwa, unakalisha tu mkundu wako hata hujui ametoka kukaa nani hapo 💩💩💩Archaic living. The world has modernized, nyinyi mko nyuma kama kawaida. Ndio Kwa maana hata hazina tanks za kuflush na bidets, munaingia huko na mandoo, bakuli na vikombe kama mtu ako jikoni. 🤣🤣🤣
Sasa hii utatumia wapi na huna choo cha kukalia kwako?😂😂🤣😂Wakundustan wangapi hata walishaona kitu kama hiki? Siwezi share a plain surface to put my bare butt skin with strangers ndio maana wengi wenu wagonjwa, unakalisha tu mkundu wako hata hujui ametoka kukaa nani hapo 💩💩💩
View attachment 3321875View attachment 3321876
Uliingia choo kipi cha huyo tajiri na uliingia wewe kama nani na kufanya nn.Ni umaskini si eti hampendelei. Ebu jiulize mbona matajiri wenu wanatumia modern toilets?