Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
We unataka pombe ziuzwe wapi.? Huko uswahili.? 🤣🤣🤣Duka gani hapo inauza pombe? 🤣🤣
We unataka pombe ziuzwe wapi.? Huko uswahili.? 🤣🤣🤣Duka gani hapo inauza pombe? 🤣🤣
Duka gani hapo inauzwa pombe?HAyo sio maduka yenu?
Kwa duka la kuuza pombe. Muwache ushamba bana.We unataka pombe ziuzwe wapi.? Huko uswahili.? 🤣🤣🤣
Tz kuna maduka ya kuuza pombe mingi than anywhere in this region. Muulize ndugu yako kibera walker 🤣🤣🤣Kwa duka la kuuza pombe. Muwache ushamba bana.
Butcher bila nyama, leo pia unajaribu kuforce issues. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Kwahiyo neno butcher kwako ni pambo🤣🤣🤣🤣
Mbona pombe inauzwa kwa duka la mangi? Si mtumie hizo mingi.Tz kuna maduka ya kuuza pombe mingi than anywhere in this region. Muulize ndugu yako kibera walker 🤣🤣🤣
Butcher bila nyama, leo pia unajaribu kuforce issues. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Tanzania is freemarket ebu kwanza tuelezane inakuwaje bado mnaanika nyama kwenye mabatiMbona pombe inauzwa kwa duka la mangi? Si mtumie hizo mingi.
Hizo ni tamaduni za wachaga my brother lakini hiyo haina maana kwamba hakuna maduka ya pombe, nikianza kupost maduka ya pimbe hapa utachanganyikiwa.. ni popular kwamba DSM hakuba weekemd watu wanaruka tu 24/7 waulize wakenya wenzako walioko huku. 🤣🤣🤣Mbona pombe inauzwa kwa duka la mangi? Si mtumie hizo mingi.
Hii yote ni hasira ju munauza pombe pamoja na sukari kwa duka la mangi. 🤣🤣
Dar huwezi patana na huu upumbavu anywhere. Kwanza ni lazima kila bucha iwe na machine ya kukatia nyama.
Sio hasira ebu tueleze hygiene ya kuuza nyama kwenye mabati yaliyooza . Yupi Bora anayeuza pomba kwa duka safi au yule anayeuza nyama iliyotandazwa kwenye mbao zilizooza ?Hii yote ni hasira ju munauza pombe pamoja na sukari kwa duka la mangi. 🤣🤣
Pombe kwa duka la mangi is a big NO. 🤣 🤣 🤣Heb ngoja nikutoe tongo tongo we mpuuzi nairobae 🤣🤣🤣 nisubiri hapo hapo nikuonyeshe pombe zinapoliwa in Dar.
Kwa Sheria za Kenya ila sio kwetu sawa. Bars in nairobiPombe kwa duka la mangi is a big NO. 🤣 🤣 🤣
Wamechaka mbaya, humo Bar kuna mabeseni, ndoo na kila kitu kama Walmart.Kwa Sheria za Kenya ila sio kwetu sawa. Bars in nairobi
View attachment 3323154View attachment 3323154