Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nairobae Teargass Donated 👇 👇 👇 👇 🤣 🤣 🤣 🤣

1746012058692.png
 



Haya maisha unapost ndio yale ya uswazi tunayozungumzia. 🤣🤣🤣 pitia huu ukurasa ujifunze maisha ya kawaida ya watanzania, na vitu vyote unavyodhania wewe ni utajiri kwasababu ya umaskini wako utaviona humu. 👇🏾. Login • Instagram. 🤣🤣🤣
 
Hawa wamekua hivi tangu zamani!!. Masikini wanakimbia roho mbaya, uchoyo, urogi (albino killers) na ufukara wa Tanzania.,
View attachment 3317580
View attachment 3317583
View attachment 3317581
View attachment 3317575
View attachment 3317576
View attachment 3317577
View attachment 3317578
Hizi ni propaganda za kunyani government ili isiwajibike na matatizo ya wananchi wao Kwa kisingizio ni foreigners ni swala la muda tu hata wewe siku ukipata matitizo yatakayohitaji msaada ya government yako watasema wewe ni msudani
 
According to you right.? 🤣🤣🤣

Skiliza mdogo wangu DSM kwenye baadhi ya maeneo haijajengwa kwa kutenga aina ya makazi ya watu. Ndani ya hizo uswazi zipo nyumba za kishua ambazo wewe unaishia kuona kwenye TV 🤣🤣🤣
Choo na jikoni nje ndio wengi wenu munajua. Hamjui modern living. 🤣🤣
 
Kijamaa kimeendelea kuleta upumbavu wake 🤣🤣🤣 haya pitia account nyingine hii. Zote hizi zinapangisha watu ndani ya goba tu. 👇🏾. Login • Instagram.
Jikoni na choo nje ndio wengi wenu mumezoea. 😄 Hapo Kwa amenities hata internet bado sio selling point huko dar is a slum. Rent nayo ni 6 months. Alafu hii Sasa ndio 1 bedroom ya kishamba huko dar is a slum. 🤣🤣🤣

20250430_143232.jpg
 
Unajua maana ya kujenga city from scratch au unaropokwa tu? Inajengwa with all amenities of a city, nyinyi tunajua huko kwenu hua mnatumia population ku award cities, that's why Mbeya ni City yet it's a village. Hatuwezi fanana.
Come learn from Magufuli City. Achana na ngoma ya kitoto Konza
 
Jikoni na choo nje ndio wengi wenu mumezoea. 😄 Hapo Kwa amenities hata internet bado sio selling point huko dar is a slum. Rent nayo ni 6 months. Alafu hii Sasa ndio 1 bedroom ya kishamba huko dar is a slum. 🤣🤣🤣

View attachment 3320606
Wewe utapost hizi nyumba moja moja kutetea point yako ila mimi titapost account nzima yenye post ya nyumba zaidi ya 1000. 🤣🤣 sasa hujioni kama wewe ni mpumbavu.? Nakuonyesha hizi ni nyumba hupangishwa na watu wa kawaida kabisaa, ambapo weww kutokana na umaskini wako unaona ni utajiri. Account ya nne hii. 👇🏾. Login • Instagram.
 
Wewe utapost hizi nyumba moja moja kutetea point yako ila mimi titapost account nzima yenye post ya nyumba zaidi ya 1000. 🤣🤣 sasa hujioni kama wewe ni mpumbavu.? Nakuonyesha hizi ni nyumba hupangishwa na watu wa kawaida kabisaa, ambapo weww kutokana na umaskini wako unaona ni utajiri. Account ya nne hii. 👇🏾. Login • Instagram.
Dar is a slum tunajua. 80%uswazi. Hawa wote hawajui modern living.

FB_IMG_1745961530945.jpg
FB_IMG_1745961736995.jpg
 
Slum house for sale in Tandale, Dar is a slum. @ksh 3 million. 🤣 🤣 🤣 Choo nje, maji nje, nyumba haina vioo Kwa madirisha ju unaweza kufa na joto, no internet, stima pia inakaa ya wizi ju hio ni connection wire gani sasa. Hii ndio maisha ya middle class in bongoslum. Munaishi primitive life in 2025 no wonder hua mko obsessed na slums kumbe hio ndio maisha mumezoea.

View attachment 3320432
Unafananisha hiyo na kibanda cha bati huko kwenu?
 
Back
Top Bottom