Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar is a slum middle class toilet starter pack. 🤣🤣
View attachment 3320564

Hii ni primitive life ambayo inaletwa na umaskini, the same way hua hamnunui vitu Kwa supermarket. Sasa ona sahii ndio mumeanza kufurahia malls.
Unaanzisha vita vya mawa wakati nyumba yako ni ya makuti 🤣🤣🤣👇👇👇

1746010820391.png
 
Huwezi jua hadi Ile siku utatembea dunia. 😄
Nimeuliza kwasababu najua nini ulimaanisha.

Mna ulimbukeni sana.

Sisi tunatawaza kwa maji, lazima tutumie SQUATING TOILETS.

Ninyi mnaiga wazungu wanaotumia Vyoo vya kukaa na toilet papers, nduonmaana mnakunya halafu kutawaza shida mnanuka mavi mida wote.
 
Nimeuliza kwasababu najua nini ulimaanisha.

Mna ulimbukeni sana.

Sisi tunatawaza kwa maji, lazima tutumie SQUATING TOILETS.

Ninyi mnaiga wazungu wanaotumia Vyoo vya kukaa na toilet papers, nduonmaana mnakunya halafu kutawaza shida mnanuka mavi mida wote.
Kwa hivyo mkitawadha hamfai kua na flushing system ama? Ama choo ya kuflush ni Haram Kwa watu maskini? 🤣🤣🤣
 



Ujue wewe ni mpumbau 🤣🤣🤣🤣 unapost maisha ya uswazi zile.. haya hapa maisha ya maskini hao hao lakini huku sio uswazi. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DI5wT3vCCdr/?igsh=MWNvcGQ1Z3U3ZmVvbw==.
 
Back
Top Bottom