Our good neighbors with a big economy just like us. 👊
View: https://x.com/KBCChannel1/status/1913189606155079885?t=OrlBsLyAktJMmBEV4gJfEA&s=19
View: https://x.com/KBCChannel1/status/1913189606155079885?t=OrlBsLyAktJMmBEV4gJfEA&s=19
Against USD, that means , currency deflation against USD inaishusha GDP yetu kidogo against USD, Tz shilling haijaperform vizuri lately, we were supposed to be at 86billion usd lakini depreciation , sasa ukiangalia total investment percentage of GDP data hizo za IMF tz imeipiku kenya , so tuna perform vizuri on some aspects , Mega projects zinafanya USD ipande thamani agaisnt TZs ,Kenya hana Mega ptoject kama za TanzaniaWewe ndio Takwimu za WB zilizopo Sasa ni za 2023 ambazo Kwa Tanzania ni USD 80bln zilitolewa June 2024 mwaka Jana.
Mwaka huu wa 2025 watatoa takwimu za 2024 ambazo tunatarajia Kwa Tanzania itakuwa USD 86bln .
Sasa Hawa IMF wanaposema outlook ya 2025 itakuwa 85bln hapo ni nini?
2026 wakati WB wanatoa data za 2025 tutakuwa USD 90bln so wewe wait hiyo June utapata majibu kamili.Mchemshe ifike $90b, sivyo?
IMF can’t give you loan if you don’t cooperate, so waache kusema ati GDP yao ni ndogo because hawapei IMF figures zao😂😂🤣Hawashare data na IMF na wametoka tu kupewa loan juzi. Hawa hudhani sisi ni mafala.
Investments zenye mnafanya saa hii sisi tulishafanya kitambo, sasa sijui unaongelea nini.Look at below data of
Total investment TZ VS KE
TZ - has invested 38% of GDP AND RISING- 32 BIl USD
KE- INVESTED 17% OF GDP -22 BIL usd
SOURCE NI IMF
Unahisi over long run naView attachment 3312869View attachment 3312871ni atabenefit when investement pay
ayaaaaa haya amka sasa ushalimwaga😂Financed by KCB.
Lakini kuuliza,hivi dar es salaam inakuaje watu wanaishi CBD..kwani mji wenu hamuna residential areas na CBD..alafu building zimechapaa..bana pakeni rangi majumbaa zenu..
View: https://www.youtube.com/watch?v=A7A56R0fGT8
Investment gani mmefanyaIMF can’t give you loan if you don’t cooperate, so waache kusema ati GDP yao ni ndogo because hawapei IMF figures zao😂😂🤣
Investments zenye mnafanya saa hii sisi tulishafanya kitambo, sasa sijui unaongelea nini.
So yenu ni ya halali ila yetu ni ya kuchemshwa!🤔🤔🤔2026 wakati WB wanatoa data za 2025 tutakuwa USD 90bln so wewe wait hiyo June utapata majibu kamili.
Mwenye video ndio amesema hapo ni City Center (CBD). Bongolala munapenda excuses.tofautisha CBD na kisutu kwanza kenge albino wewe😂😂
Ya kwenu imeongezeka sana yaani wameongeza sifuri wakati ukuaji wa Uchumi ni mdogo kuliko 🇹🇿🤣🤣So yenu nii ya halali ila yetu ni ya kuchemshwa!🤔🤔🤔
Ama nyinyi pia mnachemsha kama sisi?
Sisi tumeongeza sifuri ni sawa. Nyinyi mumeongeza sifuri, mbili au nne?Ya kwenu imeongezeka sana yaani wameongeza sifuri wakati ukuaji wa Uchumi ni mdogo kuliko 🇹🇿🤣🤣
Yaani uchumi wa Ethiopia umeshuka toka $192b hadi $116b?kwani hiyo list imesema top 10 au anything? You think we cannot tinker with our exchange rates like you to prop up our GDP?
Eti na Uchumi wa Nigeria nao umeshuka 😂😂Yaani uchumi wa Ethiopia umeshuka toka $192b hadi $116b?
Kenya uchumi wao imepanda toka $104 hadi $133b? Kwamba wameongea GDP ya $29 within a year? Kwa investments gan wamefanya kenya? Bus nchi yao uchumi wao unakua kuliko nchi zote Duniani. Then Ruto is the best president ever. Wasimuachie aisee. Amefanya wonders kwenye uchumi
Nb. Magufuli alikataaga huu ujinga. We need real economic developments on the ground sio only economic growth
Tanzanians and understanding economics ni kama maji na mafuta.Yaani uchumi wa Ethiopia umeshuka toka $192b hadi $116b?
Kenya uchumi wao imepanda toka $104 hadi $133b? Kwamba wameongea GDP ya $29 within a year? Kwa investments gan wamefanya kenya? Bus nchi yao uchumi wao unakua kuliko nchi zote Duniani. Then Ruto is the best president ever. Wasimuachie aisee. Amefanya wonders kwenye uchumi
Nb. Magufuli alikataaga huu ujinga. We need real economic developments on the ground sio only economic growth