Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatubahatishi ebu tuambie safaricom anasomeka kiasi gani cha faida
1745229708676-png.3310954
na kelele zoote zile!
 
sisi ndio tunataka kununua sasa kama tulivonunua bamburi kenya na ya uganda tutanunua kwasababu pesa ipo na biashara tunazijua vzr sana 😂😂😂😂😂
Kwani hamkuwa mmeuziwa? Ama ni Bamburi gani ya Uganda ulikuwa unasema Amsons wamenunua? Wewe rudi Yemen juu akili yako haikusaidii.
 
🤣🤣🤣🤣Naishaaaaa
Majamaa ni wapumbavu kweli kweli, that alone should tell you that these idiots doesn’t own cars. Hata kuendesha hawajui cause you can’t be a driver na ukose kujua what speed camera is😂😂🤣
 
Kwani hamkuwa mmeuziwa? Ama ni Bamburi gani ya Uganda ulikuwa unasema Amsons wamenunua? Wewe rudi Yemen juu akili yako haikusaidii.
nimekwambia jamaa kashatoa pesa anaitaka na bamburi ya uganda kwani shida ni nn si pesa tu 😂😂😂😂
 
Mimi ni part ya watu watu waliotengeneza na kuchangia vitu vingi kwenye ChatGPT. Au unataka nikuoneshe namna tunavyofanya kazi nao?
Kwani wewe ni mkenya? Cause as far as i can remebef Kenyans contrbuted to huge success of Chatgpt.
 
Back
Top Bottom