Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,415
- 3,679
hii ilifanyiwa testing, testing 1,2,3. kisha ikakuwa abandoned.
Ldc ni Ldc tu.
So far, no economic impact
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Same as nairobichcek out Harare...hehe...you might think it is a European city![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
..I wish dar ingekuwa na good planning kama hii lakini sijui tulikosea wapi anyway hatujachelewa sana inabidi serikali iingilie kati kuondoa old buildings especially in cbd na kurekebisha barabara
Same as nairobi
Hamna sehem kubwa
Ni kaplace kadogo na vijengo vichache2
![]()
![]()
![]()
.I wish dar ingekuwa na good planning kama hii lakini sijui tulikosea wapi anyway hatujachelewa sana inabidi serikali iingilie kati kuondoa old buildings especially in cbd na kurekebisha barabara
Barabara zisikunyime usingizi,ni kitu kidogo sana.ndio maana kuna BRT mpaka sasa,umeiona hapo zimbabwe???I wish dar ingekuwa na good planning kama hii lakini sijui tulikosea wapi anyway hatujachelewa sana inabidi serikali iingilie kati kuondoa old buildings especially in cbd na kurekebisha barabara
Endeleeni kuplan sisi tunajenga.Aiii planning ya Nairobi ni bora sana.
pia kampala iko dope
Amekupa na za garimoshi likikatiza mji wenu kipenzi(kibeeeeiiiiiilaaaaaa)inakaa izo picha za Mabatini zimekuchoma sana
Ndio tofauti ipo.
AFRICAN CITIES FROM ABOVE [ 2017] DRONE EDITION
Source: TOP 5 AFRICA
sio kusudio langu kukutoa povu😀😀😀hii ilifanyiwa testing, testing 1,2,3. kisha ikakuwa abandoned.
Ldc ni Ldc tu.
So far, no economic impact
mbona wazikataa??? mm sikuzileta kwa bandari yenu.Rudi fanya research kuhusu hivi vichwa usije ukajiaibisha.
Una akili sana ww ila wenzako watakuponda tu[emoji3] [emoji122]Barabara imekaa poa sana. Good job Kenyans...
lakini haifanyi kazi..... tangu kuzinduliwa kwake saa hii mwaka unaisha coz of poor planning.sio kusudio langu kukutoa povu😀😀😀
Hahaa aisee magu alivokuwa anaigiza hapo bandarini eti hawajui mwenyewe...waswahili noma sana[emoji3] [emoji115]
Kawadanganye ambao hawajafika kenya mwaka huu
wewe umefika wapi na wapi?Kawadanganye ambao hawajafika kenya mwaka huu