Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tz Sgr locomotives.
download-37.jpeg

cf969d6e1bb3064bac4cd3b52a42b0ec.jpg
 
I wish dar ingekuwa na good planning kama hii lakini sijui tulikosea wapi anyway hatujachelewa sana inabidi serikali iingilie kati kuondoa old buildings especially in cbd na kurekebisha barabara
..
 
I wish dar ingekuwa na good planning kama hii lakini sijui tulikosea wapi anyway hatujachelewa sana inabidi serikali iingilie kati kuondoa old buildings especially in cbd na kurekebisha barabara
.
Ni kwasababu ni kamji kao kadogo sana hata sisi city centre kuanzia Bibi Siti, ohio na mpaka kivukoni mbona kuko vizuri tuu. Au 'planned' kwako inamaanisha gani, barabara pana, miti ya jacaranda au ni nini?
 
I wish dar ingekuwa na good planning kama hii lakini sijui tulikosea wapi anyway hatujachelewa sana inabidi serikali iingilie kati kuondoa old buildings especially in cbd na kurekebisha barabara
Barabara zisikunyime usingizi,ni kitu kidogo sana.ndio maana kuna BRT mpaka sasa,umeiona hapo zimbabwe???
 
Back
Top Bottom